- Thread starter
- #21
Hata miaka 20 wangeweza kumuweka!Mtoto wa Whitney Houston, Bobi Christina alikaa kwenye Coma miezi sita baada ya drug overdose Hadi ndugu zake wakaomba mashine izimwe apumzike kwa amani.
Kwasababu mitambo ndiyo unakuwa inazungusha damu na hewa! Lakini ubongo baada ya mda unakufa