Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Sasa ukiwa kwenye iyo coma nywele zinaota kweli au unalishwa chochote? Vipi kujisaidia hiyo nayo ipoo? Kama havipo vipi matumbo si yatakauka sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhahahahajaa jamani spare my ribsKwaiyo anaweza kufufuka?
Dr hataki kutoa majibu 🙆 eti anaweza?Hahhahahahajaa jamani spare my ribs
Hahahaa ndo ntolee hiyoDr hataki kutoa majibu 🙆 eti anaweza?
Dr asante kwaiyo haiwezekani kabisaHahahaa ndo ntolee hiyo
embu tuondolee takataka hii.Naamini tutaonana mbeleni, Pumzika kwa amani Mwenyekiti
Ndiyo maana wanasaini kufaBongo yani hata wanaofanyiwaga CPR tu kutoboaa ngumu sanaaa...
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Hazioti mkuu...mimi Baba yangu (RIP) alipozidiwa siku moja kabla hajawekwa kwa koma tulimnyoa nywele za kichwa na ndevu...kesho yake akazidiwa akaingia kwa coma. Alikaa miezi kadhaa sikuona nywele wala ndevu ikikua. Hata kucha. Kama zilikuwa kwa kiasi kidogo sana.Sasa ukiwa kwenye iyo coma nywele zinaota kweli au unalishwa chochote? Vipi kujisaidia hiyo nayo ipoo? Kama havipo vipi matumbo si yatakauka sasa?
NimekumbukaKuna mchezaji wa soccer alikaa kwenye COMA kwa miaka miwili na akarudi tena kwenye uhai
Hazioti mkuu...mimi Baba yangu (RIP) alipozidiwa siku moja kabla hajawekwa kwa koma tulimnyoa nywele za kichwa na ndevu...kesho yake akazidiwa akaingia kwa coma. Alikaa miezi kadhaa sikuona nywele wala ndevu ikikua. Hata kucha. Kama zilikuwa kwa kiasi kidogo sana.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
SàwaNimekumbuka
Wa AjaxKuna mchezaji wa soccer alikaa kwenye COMA kwa miaka miwili na akarudi tena kwenye uhai
Maiti zilizopo makaburini zinaota nywele na kucha sembuse wewe uliyepo kwenye comaSasa ukiwa kwenye iyo coma nywele zinaota kweli au unalishwa chochote? Vipi kujisaidia hiyo nayo ipoo? Kama havipo vipi matumbo si yatakauka sasa?
Yanaendelea kama_kawaMleta maada, umeulizwa swali kuwa mtu akiwa kwenye coma, mabadiliko ya mwili kama kukua, Kuota kucha na nywele yanakuwa bado yanaendelea?