Hahah Aisee hadi wewe hunitakii mema
Amen, Watz tutavuka n'gambo ya pili salama kwa neema ya Mungu! Hata ww, kama huna sababu ya maana sana kurudi home tafadhali tulia huko! Unaweza ambukizwa kwenye ndege na airport hata kama hujaambukizwa bado! So please, just relax!Wakuu huku niliko hali sio mbaya kivile japo ugonjwa ushafika, nimecancel safari yangu ya kuja nyumbani nibaki huku mpaka hili janga liishe
nisije kuingia kwenye rekodi ya walioleta corona Bongoland.
Uzalendo kwanza.... na naamini hakuna mtanzania hata mmoja atakaekufa kwa corona
Ahsante mkuu, that's why nimeamua nitulieAmen, watz tutavuka n'gambo ya pili salama kwa neema ya Mungu! Hata ww, kama huna sababu ya maana sana kurudi home tafadhali tulia huko! Unaweza ambukizwa kwenye ndege na airport hata kama hujaambukizwa bado! So please, just relax!
Kumbe je. Ila wewe si mtumishi wa umma. Unajiongezeaje siku. Nimeona kwenye thread iliyopita ukilalamikia TUGHE.hahah Aisee hadi wewe hunitakii mema
sio kila mtumishi wa umma yuko TzKumbe je. Ila wewe si mtumishi wa umma. Unajiongezeaje siku. Nimeona kwenye thread iliyopita ukilalamikia TUGHE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mtumishiii... siye tuko na rona babby wetusio kila mtumishi wa umma yuko Tz
Hahaha na wewe umeanza kubana pua
Kwanzia jana hatujapata updates kutokea kwake..amekuwa msaada sanaMkuu unataka masaa yote huyu kiumbe awe jf tu asifanye ata shughuli zake.!!!??? Kuwa mpole akiwa hewani ataleta hizo update, kikubwa chukua tahadhari zote zinazo tolewa dhidi ya Corona.
Aiseee mwanamke weweKitambo na sahii nalamba ndimu
Atafika tu midhali tumesha mtaghahaah nipe mawasiliano yake
Ewaaaah[emoji23][emoji23][emoji23]hahaha na wewe umeanza kubana pua
Ukizingatia saa hizi ndo tulikuwa tunahitaji msaada sanaKwanzia jana hatujapata updates kutokea kwake..amekuwa msaada sana
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππ take care of yourself. BTW corona isn't for everyoneAiseee mwanamke wewe
Usisahau bando ni lake,muda ni wake hadi simu ni yake.ila jamaa amekatishwa tamaa kwa kuchanganyiwa uzi na baadhi ya mijitu humu ya uvfisiemu Mungu anawaona.Mimi nawalaumu mods kwa kuharibu huu uzi, ulikuwa ni uzi wa update tu sasa ninyi mmechanganya matakataka mengine humu. Sasa mtoa update amewaachia uzi wenu haya sasa wekeni update ninyi. Mlikuwa mnaona jamaa anafaidi amah.?