Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Naomba niendelee kujichunga nisitoe lugha chafu, wameharibu sana huu uzi.Usisahau bando ni lake,muda ni wake hadi simu ni yake.ila jamaa amekatishwa tamaa kwa kuchanyiwa uzi na baadhi ya mijitu humu ya uvfisiemu Mungu anawaona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu,Ukizingatia saa hizi ndo tulikuwa tunahitaji msaada sana
Basi ngoja tumsubiri mkuu, angalau nije kula mbuzi choma huko nyumbani maana huku mambo yashakuwa magumuAtafika tu midhali tumesha mtag
Huyu ndiye Bill Gate wetu hapa usijaliBasi ngoja tumsubiri mkuu, angalau nije kula mbuzi choma huko nyumbani maana huku mambo yashakuwa magumu
huku mambo yashakuwa magumu hata wale niliozoea kukutana nao mara kwa mara sasa wamejifungia😀😀😀😀 take care of yourself. BTW corona isn't for everyone
hahahaHuyu ndiye Bill Gate wetu hapa usijali
Ewaaaah[emoji23][emoji23][emoji23]
Its babby ronaView attachment 1391739
Sent using Jamii Forums mobile app
zamani sana mkuu, wampeta email yangu tangu j3 na nakala ipo kwa mwajili wangu
kuna Avatar zingine ukiziona zinakuhamisha akili kabisa
Hapa ilikuwa sehemu safi ya updates hawa jamaa wametukosea sana kuuchanganya huko huu uziMhariri
Moderator
Paw
Invisible
Mbona mmeharibu Uzi wetu kwa kuunganisha na upuuzi?
Huu uzi ulikuwa wajitegemea kuweka updates nyinyi kwa ujinga wenu mmeunganisha na ujinga wa watoa mada wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nao hao..wana makusudio yao tena wanaziunganisha kwa kasi kweli..upuuzi wa hali ya Phd[emoji34]Hapa ilikuwa sehemu safi ya updates hawa jamaa wametukosea sana kuuchanganya huko huu uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna Avatar zingine ukiziona zinakuhamisha akili kabisa
zinakusahaulisha kuhusu korona
Mhariri
Moderator
Paw
Invisible
Mbona mmeharibu Uzi wetu kwa kuunganisha na upuuzi?
Huu uzi ulikuwa wajitegemea kuweka updates nyinyi kwa ujinga wenu mmeunganisha na ujinga wa watoa mada wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan we ndio utaipata chap. Lionekuna Avatar zingine ukiziona zinakuhamisha akili kabisa
zinakusahaulisha kuhusu korona