Sio hawa wa Tz tunaongelea ZimbambwePole kwa Yuauph makamba and family
Alafu kuna watu wanakazinia ety huu ugonjwa unaua wazungu tu. Ujinga utawamaliza waafrikaView attachment 1397068
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee hii ni aibu ya karne.Alafu kuna watu wanakazinia ety huu ugonjwa unaua wazungu tu. Ujinga utawamaliza waafrikaView attachment 1397068
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka watu wajali vipi ?Kazi ipo, na watanzania wengi sana wala hatujali yaani watu wanaishi kama kawaida. Yaani dah
Tudhibitishie Wa Afrika waliokufa kisa Corona maana hata hiyo idadi ya waliokufa Afrika wengi Ni wale watalii walikuwa Baran Afrika.Alafu kuna watu wanakazinia ety huu ugonjwa unaua wazungu tu. Ujinga utawamaliza waafrikaView attachment 1397068
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa hawabebi mkuu tunda Lao limeshaingiliwa mdudu tayari