Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Ng'wanapagi, Huyo yawezekana alikuwa keshaunganishwa kwenye gridi ya taifa siku nyingi sana na pengine hiyo corona imekuja kummalizia tu!
Yaani kama ambavyo ungempiga mtu kofi hapo hapo aanguke chini na kufa halafu wewe ndo unapewa kesi ya mauaji kumbe mtu mwenyewe roho yake ilishaacha mwili siku nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kama ambavyo ungempiga mtu kofi hapo hapo aanguke chini na kufa halafu wewe ndo unapewa kesi ya mauaji kumbe mtu mwenyewe roho yake ilishaacha mwili siku nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app