Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Kuna wagonjwa wangapi hapo kwako mkuu,jirani zako jee? Vipi ndugu jamaa na marafiki nao hujapata taarifa zao kuwa wanakorona?

Kama hao wote niliokuuliza hawapo sasa hofu yako ni nini mkuu? Unataka uambiwe ugonjwa upo ili khali haupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujajibu facts.. umejib mipasho. Na hapa ndio tatizo la wengi lilipo. No logic no deep thinking at all.
Sio lazima ndugu zangu waupate.. si lazima majiran waupate..
Unaweza kuja hata kwa mtu wangu wa kazin. Kutokuupata kwao haimaanishi ww ndio uko salama. Inategemea na umakini wao na life style yao. So usijilinganishe nao hata kidogo.
Ulikugonga ww ni ww. Lakin hilo hali determine uwepo wa ugonjwa ama lah.
Ugonjwa upo.. tahadhari zichukuliwe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brazil na Russia blacks ni minority is equal to nill

Nipe Nchi zenye majority blacks zilizoathirika sana
Africa namba ni chache ni kwasababu hawapimi,chukulia mfano TZ mpaka sasa kitakwimu walioathirika na corona ni 580 na vifo ni 11 tu hiyo ndio takwimu ya serikali.
 
Mimi nadhani wale wana akili kubwa na ndio tofauti kubwa....
Ni formula ndogo tu unaweza kuiona... Mzungu akipata maradhi ama ataanza na First aid ama ataita ambulance atakimbilia hospital
Mwafrika akipata akiugua ama atakimbilia maombi au kwa mganga wa kienyeji...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini vifo pia Hakuna hii inamaanisha corona ni km mafua tu
Africa namba ni chache ni kwasababu hawapimi,chukulia mfano TZ mpaka sasa kitakwimu walioathirika na corona ni 580 na vifo ni 11 tu hiyo ndio takwimu ya serikali.
 
Umaskini na weledi hafifu wa mambo mbalimbali ndivyo vinavyotufanya tuwa na ujasiri wa ajabu hata kwenye mambo ya hatari. Lakini pia kwa asili miili yetu ni imara zaidi kuliko wazungu kutokana na mazingira ya asili tunayoishi kwa sasa au tuliyowahi kuishi huko nyuma.
 
Janga la corona, limedhihirisha kwamba wazungu ni waoga, sijui kwa sababu wote wamesoma.. unajua kuto kusoma nako ni faida kwa kuchukulia mambo poa.

Wazungu saizi wanaogopa corona kuliko hata simba wakati africa bando matangazo ya disco na sherehe yanaendelea kubandikwa.

Tumeona wazungu wakikimbia africa, wana amini watakufa na corona, lakini cha kushangaza hakuna corona africa kama ilivyo kwa wazungu.

WHO ilitabiri kuona maiti zikizagaa wakasahahu kwamba bara la africa ndilo lenye binadamu fit wenye afya kuliko mabara mengine. Africa hakuna huduma za afya ukiona mtu anatembea ujue yupo fit.
Waziri Mkuu wa Uingereza alipatwa na Coronavirus akajiweka karantini wiki mbili Number 10 Downing Street, Rais wetu mpendwa yuko Chato miezi miwili akijifukiza na kubugia mitishamba mpaka ya Madagascar kwa sababu kagonjwa haka kadogo kameingia nchini. Wazungu wa wapi waoga?
 
Media za Mabeberu zilitengeneza propaganda ili corona iwe tatizo la dunia

Ila Kiukweli corona is nothing for black

Tusijisifie tukamkosea Mungu bure, wewe sema mtazamo wao wa kishetani wa kutamani kuona Africa ikiangamia umeepushwa mbali na Mungu.
 
..Mlipuko wa ebola iliua watu 3500+ Siera Leone.

..jimbo la New York wamekufa watu 22,800+ kutokana na covid19.

..kwa hiyo kuna sababu za msingi kabisa za mabeberu kuwa kiwewe kutokana na janga hili.
 
Hivi mkiwa porini wawili akatokea simba mwenzako akakimbia wewe ukabaki ukajitia jasiri simba akakutafuna asiache hata ukucha je utakuwa umekufa kijasiri au kipumbavu,je wewe na yule mwenzako aliyekimbia nani akili zake zinafanya kazi?
 
Mabeberu wakate hizo dawa za arv ili tuishi na kinga ugali zetu tuone
 
Janga la corona, limedhihirisha kwamba wazungu ni waoga, sijui kwa sababu wote wamesoma.. unajua kuto kusoma nako ni faida kwa kuchukulia mambo poa.

Wazungu saizi wanaogopa corona kuliko hata simba wakati africa bando matangazo ya disco na sherehe yanaendelea kubandikwa.

Tumeona wazungu wakikimbia africa, wana amini watakufa na corona, lakini cha kushangaza hakuna corona africa kama ilivyo kwa wazungu.

WHO ilitabiri kuona maiti zikizagaa wakasahahu kwamba bara la africa ndilo lenye binadamu fit wenye afya kuliko mabara mengine. Africa hakuna huduma za afya ukiona mtu anatembea ujue yupo fit.
Naomba nikusahihishe, ni culture yao kuchukulia mambo very seriously, mfano

1. Huwezi kukuta kwao mzungu anaendesha baiskeli bila kuvaa helmet let alone pikipiki.

2. Ukipiga simu polisi utawaona mlangoni kwako ndani ya sekunde chache.

3. Gari inayotembea barabarani ni lazima iwe imechekiwa na imepewa certificate kwamba ni roadworthy.

4. Mitaa karibu yote ina street cameras kwa ajili ya usalama.

5. Uingereza club zinafungwa saa nane za usiku, muda ukikaribia polisi wanasogea. Lakini uongozi wa club unaobserve muda wa kufunga bila kulazimishwa.

6. Ukiwa under 16 huwezi kuendesha gari barabarani, na wote wanatii.

7. Under 16 huruhusiwi kuingia club, hata ukipenya wahudumu hawatakuuzia kileo

8. Kuna muda ukifika huruhusiwi kupiga honi ya gari

9. Misikini na makanisa lazima yawe na sound proof.

10. Kukitokea jambo kama mauaji wanafanya thorough investigation na inaundwa kamati kuangalia chanzo cha tatizo na wanatoa recommendations nini kifanyike ili tatizo hilo lisijirudie tena.

Mfano tu kulikuwa na mauaji ambayo hawakuwahi kuyashuhudia UK, mtu mwenye asili ya Afrika aliuawa kwa kukatwa vipande, akafungwa kwenye kiroba na kutupwa mto Thames.

Polisi walifanya uchunguzi na wakawapata wahalifu. Kilichowashangaza ni aina ya mauaji, ikabidi waanze kuchunguza why, wakagundua kuwa ilikuwa ni rituals za wanaijeria. Polisi walikwenda Nigeria vijijini kuwaona waganga na wazee wa jadi ili kupata taarifa za kwanini mauaji yanafanyika kwa staili hizo.

Ndio maana unawaona ni waoga, hiyo ni style yao ya maisha. Hawafanyi mambo kiholela kama huku kwetu, ndio maana kuna tofauti kubwa ya maendeleo kati yetu na wao.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakuta mtu yupo juu ya gari ya taka kwenda dampo anakula mihogo na Yuko fiti sembuse mafua ya Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani..ahahahha noma sana blacks
Hoja hupingwa kwa hoja sio kwa mihemko
Mihemko gani sasa wakati mtoa mada yeye kaelezea kuhusu uimara wa Waafrika, afu jamaa akasema tuwaulize Russia na Brazil kana kwamba wale Waafrika
 
Back
Top Bottom