Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Hapa serikali imelala..hapa SERKALI uweke checkpoints kila mkoa watu wapimwe kabla ya kuondoka..daresalam iwe ni lazma kw dereva kupima Covid 19...sidhani kama haya yatajirudia..shida SERKALI hauwezi kuagza vifaa vya kupima Korona ila magar ya kupiga machoz na mafimbo na mitutu itatoaa mana mwaka huu uchaguz utakua wa moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Covid-19 : High Mortality rate in seniors and why paeds having very low mortality explained

By analyzing publicly available patient data from around the globe, Backman and his team discovered a strong correlation between vitamin D levels and cytokine storm — a hyperinflammatory condition caused by an overactive immune system — as well as a correlation between vitamin D deficiency and mortality.

“Cytokine storm can severely damage lungs and lead to acute respiratory distress syndrome and death in patients,” Daneshkhah said. “This is what seems to kill a majority of COVID-19 patients, not the destruction of the lungs by the virus itself. It is the complications from the misdirected fire from the immune system.”

This is exactly where Backman believes vitamin D plays a major role. Not only does vitamin D enhance our innate immune systems, it also prevents our immune systems from becoming dangerously overactive. This means that having healthy levels of vitamin D could protect patients against severe complications, including death, from COVID-19.

“Our analysis shows that it might be as high as cutting the mortality rate in half,” Backman said. “It will not prevent a patient from contracting the virus, but it may reduce complications and prevent death in those who are infected.”

Backman said this correlation might help explain the many mysteries surrounding COVID-19, such as why children are less likely to die. Children do not yet have a fully developed acquired immune system, which is the immune system’s second line of defense and more likely to overreact.

“Children primarily rely on their innate immune system,” Backman said. “This may explain why their mortality rate is lower.”

Backman is careful to note that people should not take excessive doses of vitamin D, which might come with negative side effects. He said the subject needs much more research to know how vitamin D could be used most effectively to protect against COVID-19 complications.

“It is hard to say which dose is most beneficial for COVID-19,” Backman said. “However, it is clear that vitamin D deficiency is harmful, and it can be easily addressed with appropriate supplementation. This might be another key to helping protect vulnerable populations, such as African-American and elderly patients, who have a prevalence of vitamin D deficiency.”

Source : Researchers Have Discovered a Strong Correlation Between Severe Vitamin D Deficiency and COVID-19 Mortality Rates | Technology Networks
 
Covid inaua

Wewe kalamu mtaani kwenu wamekufa wangapi? miezi hii miwili, 5,6,8,11?? Au?

Sampling estimation ya feedbacks kutoka kwa wana mtandao gives situation ikoje

Mara ngapi tunapiga poll humu? Au ukiingia netflix ni mara ngapi unaona goofle user wameipenda by 90%


Kama humu watu 40 tu wakaweka kila mmoja kashuhudia au kasikia mtaani kwake wamekufa watu zaidi ya 3 na imekuwa abnormal nayo itakupa picha ni hali ikoje
Mbona unachanganyikiwa.
Unahimiza upate taarifa toka humu JF kwa watu unaojua wana "akili ndogo"; hii 'akili kubwa uliyonayo umemkabidhi nani kama na wewe unataka ujulikane kuwa ni mtu mwenye "akili ndogo"

Maiti wanapozikwa usiku, nyinyi wenye akili kubwa inawaeleza kitu gani!

Huo mstari wako wa mwisho unaoutilia nguvu hauna nguvu yoyote kama ungekuwa ni mtu mwenye uelewa wa matukio kama haya vizuri; na wakati huo huo ukijua juhudi zote zinazofanywa na serikali kuficha habari kama hizi.
Hayo unayotaka watu wenye akili ndogo wakuletee hapa. ndiyo hayo hayo inayotakiwa serikali iyasimamie, lakini wao wanafanya kinyume chake. Nenda kawaulize, kuna sababu zipi zinazowafanya wafiche taarifa kama hizo?
 
LOoo, haya basi, "akili ndogo" ya mtandaoni, huku mwenyekuulizwa atoe takwimu za kijijini kwao yupo kwenye mtandao! Bila shaka naye akiwa "akili ndogo"!

Tuanze kwa kuhesabu kuna mitaa mingapi Tanzania. Tutafute watu wa kutoa taarifa kila mtaa pametokea vifo vingapi katika wakati maalum.
Na ili tuweze kupata taarifa hizi ni lazima tutafute ruhusa toka ofisi kadhaa za serikali.

Ndio maana watu wenye akili kubwa hawapo mitandaoni!
Swali dogo umelitafutia maelezo meengi ili kulikwepa tu


Mtaani kwetu alikufa mmoja mwezi na zaidi sasa hamna tukio lingine
 
Swali dogo umelitafutia maelezo meengi ili kulikwepa tu


Mtaani kwetu alikufa mmoja mwezi na zaidi sasa hamna tukio lingine
Wewe unaona ni kulikwepa kwa sababu huelewi kilichoandikwa au ndivyo akili yako ilivyosukwa kuamini.

Tangu lini ikawa jukumu la watu waliomo JF kufanya kazi ya kuorodhesha vifo na kujua hivyo vifo vimesababishwa na nini?

Hakuna watu wanaolipwa mishahara kufanya hiyo kazi? Kwa nini hamtaki kazi hiyo ifanyike kwa uwazi.
 
visa fake ili mtupate Wafrica ila hamtoboi mi nawambia ...
 
Screenshot_20200511-185436.png
 
Najibu Maswali haya kuhusu Corona kwenye video hii kwa kupitia BBC Swahili:
1. Je kuna chanjo ya Corona?
2. Je kwanini majaribio ya chanjo ya Corona yanafanyika Afrika?
3. Je kushiriki kwenye majaribio ya chanjo ya Corona ni salama?
 
Baada ya kuwa kimya kwa muda wa kutosha kutokea kwetu, hatimaye wakenya wamejipa mamlaka ya kutoa takwimu za ugonjwa wetu bila ruhusa yetu. Yote ikiwa katika hali ya kutunyanyapaa.

Hii si bure, itakuwa wanatumika na mabeberu. Wanatucheza cheza shere. Hii haiwezekani wala haukubaliki:

Corona Itawamaliza! Bad News for Tanzania as the Kenyan Government Announces the Following

Tunapaswa kulinda hadhi yetu.

Na hizi nyungu na mitishamba zingetenda maajabu, kwa hakika ndipo wangetutambua!

Hakuna kuwapa madesa. Wapambane na hali zao.
 
#FAHAMU Nchi zenye visa vingi vya maambukizi ya COVID-19 duniani mpaka leo Mei 16.

U.S.: 1,442,924
Urusi: 262,843
UK: 238,004
Hispania: 230,183
Italia: 223,885
Brazil: 218,223
Ufaransa: 179,630
Ujerumani: 175,233
Uturuki: 146,457
Iran: 116,635

Kidunia: 4,534,673
 
Janga la corona, limedhihirisha kwamba wazungu ni waoga, sijui kwa sababu wote wamesoma.. unajua kuto kusoma nako ni faida kwa kuchukulia mambo poa.

Wazungu saizi wanaogopa corona kuliko hata simba wakati africa bando matangazo ya disco na sherehe yanaendelea kubandikwa.

Tumeona wazungu wakikimbia africa, wana amini watakufa na corona, lakini cha kushangaza hakuna corona africa kama ilivyo kwa wazungu.

WHO ilitabiri kuona maiti zikizagaa wakasahahu kwamba bara la africa ndilo lenye binadamu fit wenye afya kuliko mabara mengine. Africa hakuna huduma za afya ukiona mtu anatembea ujue yupo fit.
 
Back
Top Bottom