Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Ila watu mahaba na chuki zimewatawala sana.... Mtu anaamini 100% kwamba Iran anatoa data za uongo kuhusu ugonjwa... Bila ushahidi wowote... Viti kuhusu mataifa mengine ambayo maambukizi ni mengi kuliko Iran Ila vifo ni vichache kuliko Iran... Wao hawafichi Data..???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa Iran si nilisom kwenye huu uzi kuw wamepata dawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Thubuuuutu!! Bado wanahaha tu na Ugonjwa unawakata Kama kuku wa mdondo.

Sent using Jamii Forums mobile app
ISRAEL washafanya yao sasa sijui ni kweli au habari za uzushi ngoja tupate update zaid kuhakisha km ni kweli

Israel announces Corona Virus Break through

sema nn huu ugonjwa unanikumbusha seriez ya lastship season 1 kila taifa linataka lionekane kinara wa kwanza kwa kupata CURE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suesi
Nchini Nigeria, yule mgonjwa mmoja bado yuko katika uangalizi maalumu nchini humo.

Kuna taarifa ya Kamishna wa afya wa Lagos kumtembelea mgonjwa huyo ambaye ni raia wa Italia katika kituo maalumu alikowekwa lakini jambo la kustaajabisha ni kwamba, wakati kamishna huyo ameingia kituoni hapo kuonana na mgonjwa huyo na mpaka kuzungumza naye, hakuwa amevalia mavazi wala vifaa vyovyote vile vya kujikinga na maambukizi jambo lililozua sintofahamu na wasiwasi mkubwa kwa jamii na watu mbalimbali nchini humo huku wengi wakihoji kuhusiana na kitendo hicho cha kiongozi huyo kumkaribia mgonjwa bila ya vifaa vya kujikinga.

Kuhusu Algeria, yule mgonjwa mmoja amerejeshwa nchini kwake Italia na masuala mengine ya kitabibu yanaendelea huko.
Huko ni kujiua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran anatoa data za ukweli na za kiserikali
Ila kuna ile wagonjwa wa maralia walioripoti hospitalin ni 1000 ila inajulikana Tanzania kuna wagonjwa zaidi ya 10000 ila wengi hawajulikani na serikali maana sio wote wameenda serikali, tunakisia kutokana na wengi wanaotoka maeneo hayo ni wagonjwa

Ko inamaanisha myb wagonjwa wengi hawajapimwa na serikali haiwajui, sio lazima kufix data
Ila watu mahaba na chuki zimewatawala sana.... Mtu anaamini 100% kwamba Iran anatoa data za uongo kuhusu ugonjwa... Bila ushahidi wowote... Viti kuhusu mataifa mengine ambayo maambukizi ni mengi kuliko Iran Ila vifo ni vichache kuliko Iran... Wao hawafichi Data..???

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran anatoa data za ukweli na za kiserikali
Ila kuna ile wagonjwa wa maralia walioripoti hospitalin ni 1000 ila inajulikana Tanzania kuna wagonjwa zaidi ya 10000 ila wengi hawajulikani na serikali maana sio wote wameenda serikali, tunakisia kutokana na wengi wanaotoka maeneo hayo ni wagonjwa

Ko inamaanisha myb wagonjwa wengi hawajapimwa na serikali haiwajui, sio lazima kufix data

Sent using Jamii Forums mobile app
sema raia wangejitokez kupima😷😷
 
😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😞
 
Hawa Iran si nilisom kwenye huu uzi kuw wamepata dawa?
Hakuna dawa la virusi vyovyote (corona, mafua, ebola...) isipokuwa kinga cha mwili.
Kwa virusi kadhaa kuna chanjo; chanjo linapunguza hatari ya maambukizi lakini si tiba.
 
UPDATE: Italia imeripoti visa vipya 566 nchini humo sambamba na vifo vipya vitano (5).

Ongezeko hilo linapelekea idadi wa visa vyote nchini humo kufikia 1,694 huku idadi ya vifo vyote ikifikia 34.

Italia ni nchi ya tatu kwa kuripoti visa vingi zaidi duniani hadi sasa huku kukiwa na uwezekano wa visa vipya kuendelea kuripotiwa nchini humo.
 
Kulingana taarifa ya jana ya waziri wa afya ummy mwalimu, nina kila sababu ya kuisi kwamba ugonjwa umefika tz ila labda wanaficha tu kwasababu tayar walishafanya makosa ya kuwakaribisha wachina ambao kimsingi ndio super-spreader,
Kauli inayonipa shaka mpk ss
1. Kutoa agiza kwa kila mkuu wa mkoa kuandaa sehemu ambayo watahifadhiwa watakaostukiwa kuwa nao
2. Ujaji wa wageni elfu 11 na wote kuwa salama hali ya kuwa huu ugonjwa huwa unavumbuka mpk siku 14 mara baada ya mgonjwa kupata maambukizi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia wameagiza kila hospitali iwe na akiba ya kutosha ya mask
Kulingana taarifa ya jana ya waziri wa afya ummy mwalimu, nina kila sababu ya kuisi kwamba ugonjwa umefika tz ila labda wanaficha tu kwasababu tayar walishafanya makosa ya kuwakaribisha wachina ambao kimsingi ndio super-spreader,
Kauli inayonipa shaka mpk ss
1. Kutoa agiza kwa kila mkuu wa mkoa kuandaa sehemu ambayo watahifadhiwa watakaostukiwa kuwa nao
2. Ujaji wa wageni elfu 11 na wote kuwa salama hali ya kuwa huu ugonjwa huwa unavumbuka mpk siku 14 mara baada ya mgonjwa kupata maambukizi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila watu mahaba na chuki zimewatawala sana.... Mtu anaamini 100% kwamba Iran anatoa data za uongo kuhusu ugonjwa... Bila ushahidi wowote... Viti kuhusu mataifa mengine ambayo maambukizi ni mengi kuliko Iran Ila vifo ni vichache kuliko Iran... Wao hawafichi Data..???

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua nashangaa mm tu asee [emoji3][emoji16][emoji3][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran anatoa data za ukweli na za kiserikali
Ila kuna ile wagonjwa wa maralia walioripoti hospitalin ni 1000 ila inajulikana Tanzania kuna wagonjwa zaidi ya 10000 ila wengi hawajulikani na serikali maana sio wote wameenda serikali, tunakisia kutokana na wengi wanaotoka maeneo hayo ni wagonjwa

Ko inamaanisha myb wagonjwa wengi hawajapimwa na serikali haiwajui, sio lazima kufix data

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili sasa hua sio ttzo la kiserikali maana serikali wanatoa data ambazo wamezipokea wao na wanazo

Hizo za wagonjwa ambao pengne wapo hme ama hawajapimwa wala sio kosa lao


Ila binafsi nimekuelewa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akatoa na angalizo kabisa
_20200301_224729.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom