Ila pia nina imani kwa mbali sana na kauli kuwa black people hawapati corona kwasababu, ugonjwa umelipuka maeneo ya wuhan ambapo kuna population ya watu mil 10 na ndipo ambapo kuna vyuo vingi sana china na inasemekana mpk mwaka 2018 inchi za africa zote kwa pamoja zina idadi ya wanafunz elfu 6 waliokuwa wanasoma katika vyuo mbali mbali pale china especially mji wa wuhani, lakini pia wuhan ndipo ambapo pia kuna masoko so interaction kati ya wa china na waafrica ni kubwa sana ila mpk kufikia leo ambapo pale china tu kuna maambukizi takriban 780000 na vifo zaidi ya 2800 hakuna black people hata mmoja aliyestukiwa na ugonjwa wala kufariki kwa sababu ya huo ugonjwa, kwa hayo tu basi inatosha kusema kwamba corona ni km mafua na hayana impact kwa black people,
Unless otherwise mwenyezi MUNGU aendelee kutunusuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Unless otherwise mwenyezi MUNGU aendelee kutunusuru
Sent using Jamii Forums mobile app