Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

NEWS ALERT: The woman and her daughter, who have been confirmed as new coronavirus cases in Algeria, in February hosted an 83-year-old man and his daughter based in France who were tested positive for coronavirus after their return to France, the statement said.

Algeria last week announced its first coronavirus case, an Italian national who arrived in the country on Feb.17. He was later flown home to Italy, which has almost 1,700 cases. [Reuters]
 
UPDATE: CORONAVIRUS
  • 88,583 confirmed cases worldwide
  • 3,043 fatalities
  • 7,354 in serious/critical condition
  • 45,054 recovered
  • 64 countries reporting cases
More updates to come!
 
NEWS ALERT: Japan and China have agreed to delay Chinese President Xi's state visit to Japan amid the outbreak of coronavirus, source says. [Reuters]
 
UPDATE: Marekani imeripoti visa vipya vitano (5) nchini humo sanjari na kifo kipya kimoja (1).

Visa vinne (4) kati ya hivyo vimeripotiwa katika jimbo la Washington;
  • Wanawake wawili, mmoja katika miaka yake ya 80 na mwingine mwenye miaka ya 90 wanaokabiliwa na matatizo mengineyo ya kiafya
  • Mwanaume mmoja katika miaka yake ya 70 anayekabiliwa na matatizo mengineyo ya kiafya
  • Mwanaume mmoja pia katika miaka yake ya 70 aliyekuwa akikabiliwa na matatizo mengineyo ya kiafya ambaye ameripotiwa kufariki dunia mnamo Februari 29

Kisa kingine kimoja (1) kimeripotiwa katika jimbo la New York ambapo mgonjwa huyo alirejea hivi karibuni nchini humo akitokea nchini Iran.
 
Roger that
Huu mzigo ngozi nyeusi hautuhusu... Wenyewe hapo China wamekiri weusi tuna immunity 3 times stronger than other races. Kinga yetu ya mwili Ni balaa.

Unajua virus wote ni mafua ndo maana mucus na moisture ya kwenye ubongo inakuwa disturbed then makamasi yanatiririka hata HIV Ni mafua tu sema HIV inakaa muda mrefu na kudhoofisha immunity na kazi hiyo inamchukua HIV virus zaidi ya miaka 10 kuibomoa Kinga Hadi ifike stage ya AIDS yaani upate upungufu wa Kinga mwilini.

Sasa huyu kirusi wa Corona yeye anavamia na kubomoa cells na kuvujisha maji mwilini yanayoenda kwenye mapafu na kusababisha pneumonia ambayo technically inasababishwa na kujaa Mani kwenye mapafu victim anashindwa kupumua na kufariki dunia.

Sasa Ni Bora HIV utaishi miaka zaidi ya 10 ukipata na dawa unaongeza 20 nyingine.
Corona yenyewe ukikosa vifaa vizuri vya kukuattend hali yake inakuwa Kama mtu aliezama kwenye maji na kunywa maji mengi yakajaa kwenye mapafu then akafa maji.

Nikipata muda nitaelezea zaidi, naangalia El classico now.

Paula Paul X-ray waione

Do you understand?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mzigo ngozi nyeusi hautuhusu... Wenyewe hapo China wamekiri weusi tuna immunity 3 times stronger than other races. Kinga yetu ya mwili Ni balaa.

Unajua virus wote ni mafua ndo maana mucus na moisture ya kwenye ubongo inakuwa disturbed then makamasi yanatiririka hata HIV Ni mafua tu sema HIV inakaa muda mrefu na kudhoofisha immunity na kazi hiyo inamchukua HIV virus zaidi ya miaka 10 kuibomoa Kinga Hadi ifike stage ya AIDS yaani upate upungufu wa Kinga mwilini.

Sasa huyu kirusi wa Corona yeye anavamia na kubomoa cells na kuvujisha maji mwilini yanayoenda kwenye mapafu na kusababisha pneumonia ambayo technically inasababishwa na kujaa Mani kwenye mapafu victim anashindwa kupumua na kufariki dunia.

Sasa Ni Bora HIV utaishi miaka zaidi ya 10 ukipata na dawa unaongeza 20 nyingine.
Corona yenyewe ukikosa vifaa vizuri vya kukuattend hali yake inakuwa Kama mtu aliezama kwenye maji na kunywa maji mengi yakajaa kwenye mapafu then akafa maji.

Nikipata muda nitaelezea zaidi, naangalia El classico now.

Paula Paul X-ray waione

Do you understand?

Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you Vida, naendelea kujifunza.
 
Huu mzigo ngozi nyeusi hautuhusu... Wenyewe hapo China wamekiri weusi tuna immunity 3 times stronger than other races. Kinga yetu ya mwili Ni balaa.

Unajua virus wote ni mafua ndo maana mucus na moisture ya kwenye ubongo inakuwa disturbed then makamasi yanatiririka hata HIV Ni mafua tu sema HIV inakaa muda mrefu na kudhoofisha immunity na kazi hiyo inamchukua HIV virus zaidi ya miaka 10 kuibomoa Kinga Hadi ifike stage ya AIDS yaani upate upungufu wa Kinga mwilini.

Sasa huyu kirusi wa Corona yeye anavamia na kubomoa cells na kuvujisha maji mwilini yanayoenda kwenye mapafu na kusababisha pneumonia ambayo technically inasababishwa na kujaa Mani kwenye mapafu victim anashindwa kupumua na kufariki dunia.

Sasa Ni Bora HIV utaishi miaka zaidi ya 10 ukipata na dawa unaongeza 20 nyingine.
Corona yenyewe ukikosa vifaa vizuri vya kukuattend hali yake inakuwa Kama mtu aliezama kwenye maji na kunywa maji mengi yakajaa kwenye mapafu then akafa maji.

Nikipata muda nitaelezea zaidi, naangalia El classico now.

Paula Paul X-ray waione

Do you understand?

Sent using Jamii Forums mobile app
Propaganda za maji taka! Hakuna ushahidi wa kitaalam kuwa corona haiwahusu watu weusi, kama ushahidi upo weka hapa!
 
NEWS ALERT: The woman and her daughter, who have been confirmed as new coronavirus cases in Algeria, in February hosted an 83-year-old man and his daughter based in France who were tested positive for coronavirus after their return to France, the statement said.

Algeria last week announced its first coronavirus case, an Italian national who arrived in the country on Feb.17. He was later flown home to Italy, which has almost 1,700 cases. [Reuters]
You are doing good work FRANC.
 
UPDATE: Marekani imeripoti visa vipya vitano (5) nchini humo sanjari na kifo kipya kimoja (1).

Visa vinne (4) kati ya hivyo vimeripotiwa katika jimbo la Washington;
  • Wanawake wawili, mmoja katika miaka yake ya 80 na mwingine mwenye miaka ya 90 wanaokabiliwa na matatizo mengineyo ya kiafya
  • Mwanaume mmoja katika miaka yake ya 70 anayekabiliwa na matatizo mengineyo ya kiafya
  • Mwanaume mmoja pia katika miaka yake ya 70 aliyekuwa akikabiliwa na matatizo mengineyo ya kiafya ambaye ameripotiwa kufariki dunia mnamo Februari 29

Kisa kingine kimoja (1) kimeripotiwa katika jimbo la New York ambapo mgonjwa huyo alirejea hivi karibuni nchini humo akitokea nchini Iran.

Hivi wanapoonesha miaka 80 na kusema alikuwa anakabiliwa na matatizo mengine kiafya. Ni kufukia fukia kwamba uzee+matatizo mengine kiafya ndio yamepelekea au?
 
Afrika ni taifa la Mungu, kamwe hakutakuwa na mtu mweusi atakeyekufa kutokana na Corona, huo ni ugonjwa wa watu weupe hata wakija Afrika watakufa wao tu.
 
Nilisikia waliruhusiwa kusepa
UPDATE: Meli ya Diamond Princess

Visa vipatavyo 705 vimeripotiwa katika meli hiyo huku wagonjwa wapatao 36 wakiripotiwa kuwa katika hali mbaya zaidi huku wengine 10 wakiripotiwa kupata nafuu.

Idadi ya vifo kutokana na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) kwa wagonjwa waliokuwemo katika meli hiyo ni sita (6) hadi sasa.

View attachment 1374159

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UPDATE: Marekani imeripoti visa vipya vitano (5) nchini humo sanjari na kifo kipya kimoja (1).

Visa vinne (4) kati ya hivyo vimeripotiwa katika jimbo la Washington;
  • Wanawake wawili, mmoja katika miaka yake ya 80 na mwingine mwenye miaka ya 90 wanaokabiliwa na matatizo mengineyo ya kiafya
  • Mwanaume mmoja katika miaka yake ya 70 anayekabiliwa na matatizo mengineyo ya kiafya
  • Mwanaume mmoja pia katika miaka yake ya 70 aliyekuwa akikabiliwa na matatizo mengineyo ya kiafya ambaye ameripotiwa kufariki dunia mnamo Februari 29

Kisa kingine kimoja (1) kimeripotiwa katika jimbo la New York ambapo mgonjwa huyo alirejea hivi karibuni nchini humo akitokea nchini Iran.
Nadhani sasa dunia yote inaongea lugha moja
 
NEWS ALERT: Raia wanne wa kigeni waliowasili Uganda na dalili za Coronavirus watengwa. [BBC]

Raia wanne wa kigeni waliowasili nchini Uganda na dalili za virusi vya corona wametengwa katika hospitali ya Entebbe, Waziri wa afya amethibitisha.

Bila ya kutaja uraia wao, afisa mahusiano wa waziri wa afya bwana Emmanuel Ainebyoona alisema kuwa raia hao wamechukuliwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe.

"Sampuli ya vipimo vyao vimepelekwa katika kituo cha utafiti wa virusi nchini humo (UVRI). Na tutaitaarifu umma " gazeti la Daily Monitor limemnukuu.
 
Back
Top Bottom