ISRAEL washafanya yao sasa sijui ni kweli au habari za uzushi ngoja tupate update zaid kuhakisha km ni kweliThubuuuutu!! Bado wanahaha tu na Ugonjwa unawakata Kama kuku wa mdondo.
Sent using Jamii Forums mobile app
ISRAEL washafanya yao sasa sijui ni kweli au habari za uzushi ngoja tupate update zaid kuhakisha km ni kweli
Israel announces Corona Virus Break through
sema nn huu uginjwa unanikumbusha seriez ya lastship season 1 kila taifa linataka lionekane kinara wa kwanza kwa kupata CURE
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko ni kujiua.Nchini Nigeria, yule mgonjwa mmoja bado yuko katika uangalizi maalumu nchini humo.
Kuna taarifa ya Kamishna wa afya wa Lagos kumtembelea mgonjwa huyo ambaye ni raia wa Italia katika kituo maalumu alikowekwa lakini jambo la kustaajabisha ni kwamba, wakati kamishna huyo ameingia kituoni hapo kuonana na mgonjwa huyo na mpaka kuzungumza naye, hakuwa amevalia mavazi wala vifaa vyovyote vile vya kujikinga na maambukizi jambo lililozua sintofahamu na wasiwasi mkubwa kwa jamii na watu mbalimbali nchini humo huku wengi wakihoji kuhusiana na kitendo hicho cha kiongozi huyo kumkaribia mgonjwa bila ya vifaa vya kujikinga.
Kuhusu Algeria, yule mgonjwa mmoja amerejeshwa nchini kwake Italia na masuala mengine ya kitabibu yanaendelea huko.
Ila watu mahaba na chuki zimewatawala sana.... Mtu anaamini 100% kwamba Iran anatoa data za uongo kuhusu ugonjwa... Bila ushahidi wowote... Viti kuhusu mataifa mengine ambayo maambukizi ni mengi kuliko Iran Ila vifo ni vichache kuliko Iran... Wao hawafichi Data..???
Sent using Jamii Forums mobile app
sema raia wangejitokez kupima😷😷Iran anatoa data za ukweli na za kiserikali
Ila kuna ile wagonjwa wa maralia walioripoti hospitalin ni 1000 ila inajulikana Tanzania kuna wagonjwa zaidi ya 10000 ila wengi hawajulikani na serikali maana sio wote wameenda serikali, tunakisia kutokana na wengi wanaotoka maeneo hayo ni wagonjwa
Ko inamaanisha myb wagonjwa wengi hawajapimwa na serikali haiwajui, sio lazima kufix data
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna dawa la virusi vyovyote (corona, mafua, ebola...) isipokuwa kinga cha mwili.Hawa Iran si nilisom kwenye huu uzi kuw wamepata dawa?
Kulingana taarifa ya jana ya waziri wa afya ummy mwalimu, nina kila sababu ya kuisi kwamba ugonjwa umefika tz ila labda wanaficha tu kwasababu tayar walishafanya makosa ya kuwakaribisha wachina ambao kimsingi ndio super-spreader,
Kauli inayonipa shaka mpk ss
1. Kutoa agiza kwa kila mkuu wa mkoa kuandaa sehemu ambayo watahifadhiwa watakaostukiwa kuwa nao
2. Ujaji wa wageni elfu 11 na wote kuwa salama hali ya kuwa huu ugonjwa huwa unavumbuka mpk siku 14 mara baada ya mgonjwa kupata maambukizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua nashangaa mm tu asee [emoji3][emoji16][emoji3][emoji23]Ila watu mahaba na chuki zimewatawala sana.... Mtu anaamini 100% kwamba Iran anatoa data za uongo kuhusu ugonjwa... Bila ushahidi wowote... Viti kuhusu mataifa mengine ambayo maambukizi ni mengi kuliko Iran Ila vifo ni vichache kuliko Iran... Wao hawafichi Data..???
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili sasa hua sio ttzo la kiserikali maana serikali wanatoa data ambazo wamezipokea wao na wanazoIran anatoa data za ukweli na za kiserikali
Ila kuna ile wagonjwa wa maralia walioripoti hospitalin ni 1000 ila inajulikana Tanzania kuna wagonjwa zaidi ya 10000 ila wengi hawajulikani na serikali maana sio wote wameenda serikali, tunakisia kutokana na wengi wanaotoka maeneo hayo ni wagonjwa
Ko inamaanisha myb wagonjwa wengi hawajapimwa na serikali haiwajui, sio lazima kufix data
Sent using Jamii Forums mobile app