FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
-
- #1,541
Tupe dariri na wewe ulitumia nini kiongozi
pole sana,je ulitumia dawa gani kusaidia watu endapo ukifika japo hatuombei ufike kwetu.
Inabidi tukutane tukuweke kwenye quarantine
Hii ishu ilimpelekea kutumbuliwa right?Usikute huu ndo ule ugonjwa ambao yule mke wa kocha wa zamani wa Yanga alisema upo na akataka serikali ifanye uchunguzi.
Alizungumzia kuhusu mafua makali
Huu ugonjwa huko China haujaanza jana wala juzi, hadi China inautangazia ulimwengu kuwa kuna tatizo la Corona, ni dhahiri kabisa ni baada ya kulemewa na kuanza kusambaa kwa taarifa mitandaoni ndio wakaamua sasa kusema,muda wanaongea huenda tatizo limeshazunguka dunia nzima.
Ni kwamba nilikuwa China mwezi Septemba jimbo moja la Kunming, wakati naondoka Airport ya Bejing Kwenda jimbo la Kunming ndani ya ndege nilishuhudia hali mbaya sana ya afya za abiria wa kichina,walikuwa wakikohoa na makohozi hadi najisikia vibaya,nikishindwa hata kupata breakfast humo,hali hy niliikuta pia kwenye flight to Kunming kwenda Gasa...nikajua ni homa ya mapafu na koo labda kwa vile wachina wanavuta sigara sana.
Niliporudi hapa bongo niliugua sana madonda ya kooni na homa kali baada ya wiki moja mke wangu akaugua na wanangu wawili kwa pamoja,japo wote walipona homa ileile....sasa baada ya ugonjwa ule kutajwa nilipoangalia dalili,ni zilezile.....CORONA...
Ugonjwa humu nchini upo,sema tu huenda kweli waafrika tupo tolerant na ugonjwa huo,ugonjwa huu utakuwa umesambaa dunia nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
sahihi mkuu nakumbuka mwezi wa 11 kwenda 12 nilipigwa na mafua makali mpk viungo vikawa havikunji nikawekwa mapumziko mida saa 5 usiku kidspensary cha mtaani pima marelia hakuna lkn homa haishuki jasho linanitililika pua zimebana mbavu zinauma pumzi tabu kupumua haitoki nikahisi nakufa mana sikuwahi kukutana na mafua aina hiyo sasa sikutaka kulazwa mana ningekuwa lelemama ningetiwa drip nikarud home nikameza dawa za marelia zinaitwa ORODAR nikapiga dawa tatu tembe 2 na vidonge fulani vya pumu km ikibanaa sana
then nikavuta shuka nikalala kiubishi toka jasho sana baada masaa km manne homa ikadhuka viungo vikaachia
kesho yake ikawa ahuweni lkn jioni yake wife nae yeye akalazwa na drip akatiwa baada siku 2 ikampata mwanangu sema yeye haikumsumbua sana ila homa ndo ilikuwa shida
baada ya hapo ugonjwa ukahamia job ofisini nzima ikawpata kuna waliolaza na wengne ilikuwa kawaida
na kwakweli miezi hiyo mafua ya hivi yalisambaa sana mpk nakumbuka serikali ikatoa tamko kuhusu haya mafua mana hali ilikuwa tete
Sent using Jamii Forums mobile app
πππMmeshachelewa....hata hivyo nishapona sema tu ndio unahamahama sana,marafiki zangu wa karibu na michepuko wote walishaugua na kupona.....nilihisi kutengwa ningebainika.[emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app