Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Sasa ipo south ya Africa
Screenshot_20200305-182841~3.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Italy

Nchini Italia leo vimetokea vifo 41 na kufikisha jumla ya vifo 148 nchini Italia.
Italia ikiwa nchi yenye vifo vingi baada ya China, ikifuatiwa na Iran.

Maambukizi yamefika nchi nzima.
Shule zote zimefungwa

Serikali yatenga zaidi ya Tril 17 za Kitanzania kama rescue plan....

Serikali ya Italia inadai Mjerumani ndiye Patient Zero.


Sent from my GT-I9152 using JamiiForums mobile app
 
Deception yupo wapi wakuu?

Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App

Same old stories given new names....

Mnakumbuka Swine na Birds flu?

Haya mambo yanahitaji mtu mfuatiliaji sana kung'amua ukweli ulivyo,maana ni mchanganyiko wa mambo mengi sana....wakubwa wa dunia wakitaka ku accelerate agenda zao fulani huwa wanatumia mbinu kama hizi danganyifu....

Hebu tujiulize,huo uhatari wa corona unatokea wapi kama kati ya watu 100 wanaoambukizwa wanakufa watu 2 tu,na tunaambiwa corona haina dawa wala kinga?

je,hao watu 98 kati ya 100 walioambukizwa corona wanaponaje wakati corona haina kinga wala tiba?

Zitendeeni haki akili zenu,nguvu ya MEDIA ni kubwa sana na imeshikiliwa na watu wakubwa sana duniani,wakitaka kuidanganya dunia kwa jambo lolote lile ili kutimiza malengo yao, its just a matter of seconds,watu karibu wote duniani wataamini.

Sasa hivi watu hawajiulizi kabisa,wanaongea tu kama misukule wakisema eti corona ni ugonjwa hatari sana,hii ndio nguvu ya media.

Death rate ya corona(tuchukulie ipo),ni just 2%...yaani kati ya watu 100 wanaoambukizwa watu 2 tu ndio hufa..

Je,mnajisahaulisha kwa makusudi kabisa kuhusu death rate ya malaria na magonjwa mengine halisi kabisa? Je,watu hawafi klwa malaria kila siku iendayo?

Idadi ya watu wafao kwa malaria na rate ya uambukizwaji wa malaria inafanana na corona?

Zitendeeni haki akili zenu.
 
France.

Mmalaka nchini Ufaransa zatangaza ongezeko la vifo 3 siku ya leo hivyo kufikisha vifo 7.

Waambukizwa wamefikia 438

Sent from my GT-I9152 using JamiiForums mobile app

walioambukizwa ni 438,waliokufa ni 7;

Les do maths... 7/438 x 100=1.59 uki round off unapata 2%

Haya ndio ninayosema....yaani kati ya watu 100 wanaoambukizwa hufa 2 tu,keep in mind kwamba tumeambiwa corona haina kinga wala tiba.

Do you still buy huu upuuzi?Bado unasema corona ni hatari?

Hao watu 98 wameponaje wakati corona haina kinga wala tiba?

Twende kwenye case hii halisi kulingana na data ulizotoa....

Hesabu za kutoa 438-7=431.... yaani kati ya watu 438 walioambukizwa wamekufa 7 tu,lakini wamepona watu 431...Je,hao watu wengi sana 431 wameponaje wakati corona haina kinga wala tiba?

Yaani watu 431 kati ya 438 wamepona halafu mijitu bado inang'ang'ania kwamba corona ni hatari sana...MEDIA ina nguvu sana.

Hivi watu wanasahau kwamba kipindi cha kubadili majira ya mwaka watu wengi sana huugua/huambukizwa magonjwa/homa zitokanazo na/kama malaria,mafua nk na wengi sana hufa kwa rate kubwa kuliko huu upuuzi wa corona?..au kwasababu hili halipewi nguvu ya media na wakubwa wa dunia?

Zitendeeni haki akili zenu.
 
Same old stories given new names....

Mnakumbuka Swine na Birds flu?

Haya mambo yanahitaji mtu mfuatiliaji sana kung'amua ukweli ulivyo,maana ni mchanganyiko wa mambo mengi sana....wakubwa wa dunia wakitaka ku accelerate agenda zao fulani huwa wanatumia mbinu kama hizi danganyifu....

Hebu tujiulize,huo uhatari wa corona unatokea wapi kama kati ya watu 100 wanaoambukizwa wanakufa watu 2 tu,na tunaambiwa corona haina dawa wala kinga?

je,hao watu 98 kati ya 100 walioambukizwa corona wanaponaje wakati corona haina kinga wala tiba?

Zitendeeni haki akili zenu,nguvu ya MEDIA ni kubwa sana na imeshikiliwa na watu wakubwa sana duniani,wakitaka kuidanganya dunia kwa jambo lolote lile ili kutimiza malengo yao, its just a matter of seconds,watu karibu wote duniani wataamini.

Sasa hivi watu hawajiulizi kabisa,wanaongea tu kama misukule wakisema eti corona ni ugonjwa hatari sana,hii ndio nguvu ya media.

Death rate ya corona(tuchukulie ipo),ni just 2%...yaani kati ya watu 100 wanaoambukizwa watu 2 tu ndio hufa..

Je,mnajisahaulisha kwa makusudi kabisa kuhusu death rate ya malaria na magonjwa mengine halisi kabisa? Je,watu hawafi klwa malaria kila siku iendayo?

Idadi ya watu wafao kwa malaria na rate ya uambukizwaji wa malaria inafanana na corona?

Zitendeeni haki akili zenu.
Ni vile tu nimechoka kuandika ila kukusaidia kuanzia leo hii tambua ya kua HAKUNA KIRUSI CHOCHOTE KILE CHENYE DAWA , CHOCHOTE KILE

jua hilo kuanzia leo hii, mengine utaongezea mwenyewe kwa kusoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nin maana ya patient zero
Italy

Nchini Italia leo vimetokea vifo 41 na kufikisha jumla ya vifo 148 nchini Italia.
Italia ikiwa nchi yenye vifo vingi baada ya China, ikifuatiwa na Iran.

Maambukizi yamefika nchi nzima.
Shule zote zimefungwa

Serikali yatenga zaidi ya Tril 17 za Kitanzania kama rescue plan....

Serikali ya Italia inadai Mjerumani ndiye Patient Zero.


Sent from my GT-I9152 using JamiiForums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You real are crazy, sometimes unaongea pumba usizozijua kiasi kwamba natamani niwashe self camera yko nikuone
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We jamaa bnaa
Same old stories given new names....

Mnakumbuka Swine na Birds flu?

Haya mambo yanahitaji mtu mfuatiliaji sana kung'amua ukweli ulivyo,maana ni mchanganyiko wa mambo mengi sana....wakubwa wa dunia wakitaka ku accelerate agenda zao fulani huwa wanatumia mbinu kama hizi danganyifu....

Hebu tujiulize,huo uhatari wa corona unatokea wapi kama kati ya watu 100 wanaoambukizwa wanakufa watu 2 tu,na tunaambiwa corona haina dawa wala kinga?

je,hao watu 98 kati ya 100 walioambukizwa corona wanaponaje wakati corona haina kinga wala tiba?

Zitendeeni haki akili zenu,nguvu ya MEDIA ni kubwa sana na imeshikiliwa na watu wakubwa sana duniani,wakitaka kuidanganya dunia kwa jambo lolote lile ili kutimiza malengo yao, its just a matter of seconds,watu karibu wote duniani wataamini.

Sasa hivi watu hawajiulizi kabisa,wanaongea tu kama misukule wakisema eti corona ni ugonjwa hatari sana,hii ndio nguvu ya media.

Death rate ya corona(tuchukulie ipo),ni just 2%...yaani kati ya watu 100 wanaoambukizwa watu 2 tu ndio hufa..

Je,mnajisahaulisha kwa makusudi kabisa kuhusu death rate ya malaria na magonjwa mengine halisi kabisa? Je,watu hawafi klwa malaria kila siku iendayo?

Idadi ya watu wafao kwa malaria na rate ya uambukizwaji wa malaria inafanana na corona?

Zitendeeni haki akili zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga ww, ukitaka kupiga hesabu vzr piga death toll over recovered, kama wenye ugonjwa wote asilimia kubwa wamepata leo je???
Then kibaya ni kuwa hapa bado haujamutate unaua watu hivi
Usiongee kama mtoto wa darasa la pili, ongea kama mtu mzima
walioambukizwa ni 438,waliokufa ni 7;

Les do maths... 7/438 x 100=1.59 uki round off unapata 2%

Haya ndio ninayosema....yaani kati ya watu 100 wanaoambukizwa hufa 2 tu,keep in mind kwamba tumeambiwa corona haina kinga wala tiba.

Do you still buy huu upuuzi?Bado unasema corona ni hatari?

Hao watu 98 wameponaje wakati corona haina kinga wala tiba?

Twende kwenye case hii halisi kulingana na data ulizotoa....

Hesabu za kutoa 438-7=431.... yaani kati ya watu 438 walioambukizwa wamekufa 7 tu,lakini wamepona watu 431...Je,hao watu wengi sana 431 wameponaje wakati corona haina kinga wala tiba?

Yaani watu 431 kati ya 438 wamepona halafu mijitu bado inang'ang'ania kwamba corona ni hatari sana...MEDIA ina nguvu sana.

Hivi watu wanasahau kwamba kipindi cha kubadili majira ya mwaka watu wengi sana huugua/huambukizwa magonjwa/homa zitokanazo na/kama malaria,mafua nk na wengi sana hufa kwa rate kubwa kuliko huu upuuzi wa corona?..au kwasababu hili halipewi nguvu ya media na wakubwa wa dunia?

Zitendeeni haki akili zenu.
Screenshot_20200305-122219.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vile tu nimechoka kuandika ila kukusaidia kuanzia leo hii tambua ya kua HAKUNA KIRUSI CHOCHOTE KILE CHENYE DAWA , CHOCHOTE KILE

jua hilo kuanzia leo hii, mengine utaongezea mwenyewe kwa kusoma

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa wanamuelewa sana wale watu wasiojua vitu, kwakuwa akili zao zinafanana ko ni lazima wamuelewe

Sa we ugonjwa unaogopeka dunia nzima na apo bado haujamutate af anaongea ushumba, ukiongezea pia apo bado

Na kibaya cha uu ugonjwa unaweza kukupata mara ya pili na unakuja kwa kasi kuliko mara ya kwanza

Aende kuubilia watu wa ai a yake tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mmeona hiyo story inayo trend ya yule author aliye predict Corona virus kwenye kitabu chake cha mwaka 1981?
 
MPYA: Wizara ya afya ya China imeripoti ongezeko la visa vipya 137 pamoja na vifo vipya 30 nchini humo ambapo visa 126 kati ya vilivyoripotiwa pamoja na vifo 29 ni kutokea Hubei pekee.
 
Back
Top Bottom