FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
- #1,661
UPDATE: Iran imeripoti kifo kipya kinachomhusu kiongozi mwingine wa ngazi za juu nchini humo.
Hossein Sheikholeslam, mshauri wa waziri wa mambo ya nje wa Iran Javad Zarif ambaye pia aliwahi kuwa balozi wa nchi hiyo nchini Syria, ameripotiwa kufariki dunia mnamo Machi 5 kutokana na ugonjwa ya virusi vya Corona (COVID-19), janga ambalo limeambukiza maelfu nchini Iran.
Hossein Sheikholeslam, mshauri wa waziri wa mambo ya nje wa Iran Javad Zarif ambaye pia aliwahi kuwa balozi wa nchi hiyo nchini Syria, ameripotiwa kufariki dunia mnamo Machi 5 kutokana na ugonjwa ya virusi vya Corona (COVID-19), janga ambalo limeambukiza maelfu nchini Iran.