FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
-
- #1,901
inawezekana china kweli imeudhibiti na inajitahidi huu ugonjwa kwa mujibu wa mitandao yao wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kudhibiti kasi ya maambukizi hata km unakumbuka kuna memba humu mchina bakary jinsi alivyoeleza naweza kubari kabisa wamejitahidi kuudhibiti kimbembe kipo ulaya huko walijiachia km tunavyojiachia sisi hadi ulivyowafika ndo wakazinduka wkt ushasambaaa sanaIs China downplaying its numbers?
Is China downplaying its numbers?
Whatever the case ...ila wamejitahidi tumeona jitihada zao wanachangia hadi madaktari....tusisahau tunamuongelea chinaIs China downplaying its numbers?
mpk sasa me binafs nishaanza onja joto ya kiuchumi kuna baadhi ya mari zishaanza kuadimuka kiwandani kuna bidhaa za kiwandani zinatoka korea kwakweli bei wamepandisha maradufu
kwa huu mwandiko inaonyesha unamiliki kiwanda cha wanzuki au kiwanda cha gongompk sasa me binafs nishaanza onja joto ya kiuchumi kuna baadhi ya mari zishaanza kuadimuka kiwandani kuna bidhaa za kiwandani zinatoka korea kwakweli bei wamepandisha maradufu
mm nalalamika bei imepanda ghafla wanipunguzie
wezangu wanagombea kutahamaki mari hakuna dah !
Sent using Jamii Forums mobile app