Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baraza la Mawaziri kuna uwezekano mkubwa wote wakaugua CoronaNEWS ALERT: Masoumeh Ebtekar, one of Iran's vice presidents, has tested positive for coronavirus. [IRNA]
View attachment 1370658
- On Wednesday, she attended a cabinet meeting in Tehran & sat a few yards from Iranian President Hassan Rouhani
Nchi ya kipumbavu Sana hii, mtu anafurahia kuja kwa wageni ili apate pesa Sa kuendeshea nchi na huyo huyo tukipata matatizo hashindwi kusema corona hajaleta yeye
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa ni kutoka katika vyanzo mbalimbali vya kuaminika;mwamba hongera sana kwa kazi ya kutuhabarisha ila samahani ningependa kufahamu izi taarifa huwa unazipata wapi na kuhakikisha kuwa ni za kweli
Salute mkuu!Taarifa ni kutoka katika vyanzo mbalimbali vya kuaminika;
Takwimu ama ripoti zote ninazozileta humu zenye utangulizi "BREAKING", "UPDATE" au mara nyingine "NEW/MPYA" mwanzoni mwa taarifa hizo, ni rasmi na zimethibitishwa na mamlaka za sehemu husika ama taasisi zenye dhamana..
- Vyombo mbalimbali vya habari duniani (News Media).
- Mamlaka za nchi husika (Taasisi/Wizara za afya n.k. kupitia tovuti)
- Taasisi za kimataifa. WHO n.k.
- Vyanzo vingine
Taarifa zenye utangulizi "NEWS ALERT" ni kutoka katika media ama vyombo mbalimbali vya habari vya kuaminika.
Naingia humu kila siku niseme tu sms page 930 zote nimepitia kila siku natamani nipate taarifa nzuri ya kupatikana kwa dawa ila bado
Huu ugonjw ukija huku kwetu na hivi hatuna ela, na wabongo tunavyopenda kusalimiana kwa kushikana mikono ndio tutakufa kama kuku wa mdondo hivi! MUNGU TUSAIDIE
Sent using Jamii Forums mobile app
Una moyo sana kijana
Watu kama nyie mnafaa sana kuwa viongozi ila cha ajabu viongozi wanakuwa watu wa ajabuajabu
Ningekuwa Magufuli uongozi nakupa fasta maana una juhudi za kipekee
Sent using Jamii Forums mobile app
Omba ushahidi wa ripoti hizi.
Sio unabeba tu.
Dunia imejaa upuuzi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Chanjo hadi April hukoNaingia humu kila siku niseme tu sms page 930 zote nimepitia kila siku natamani nipate taarifa nzuri ya kupatikana kwa dawa ila bado
Sent using Jamii Forums mobile app
Upuuzi sana. Huu ugonjwa ni kama kuuza nafsi za wananchi kwaajiri ya kujifanya roho nzuri natamaa ya fedha za utalii.Nimejaribu kutafakari nimekosa majibu kwann wakenya wanataka kuhatarisha maisha yetu jamani hv umoja wa east africa hawaliona hili au
Sent using Jamii Forums mobile app