FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
- #1,481
Kuna Mjerumani anahisiwa kuwa na COVID-19 huko Mombasa ambaye tayari amekwishawekwa katika uangalizi maalumu.Mkuu naona voice note inatembea mitandaoni kuwa Kenya , hii habari hii kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa zaidi zitafuata.