robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
tumefanana mawazo, kwamba ni muda sasa Afrika kuitawala dunia.Inabidi nchi za kiafrica zifanye confirmation haraka kujua kama huu ugonjwa hautuathiri sisi ngozi nyeusi ili itumie hii fursa kuwapeleka vijana wetu wakapige kazi huko china na nchi zilizoathiriwa.
Inawezekana hii ndio fursa ya pekee iliyoletwa na Mungu ili kumkomboa mwafrica kutoka kwenye lindi la umaskini
Sent using Jamii Forums mobile app