Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Dalili za COVID-19
IMG-20200313-WA0003.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hujawahi kuumwa Mafua mkuu na korona huwa sio Mafua tu peke yake inaambatana na dalili zingine.

Lakini wasiwasi ndio akili kama upo katika nchi zilizo athirika au kama nawewe unakula popo
 
China hakuweza sema ukweli maana alitaka janga liishe mapema arudi kwenye biashara maana yeye tu ndio alikua akisumbuka na hilo gonjwa. Katudanganya weee mwisho wa siku nchi zingine zikaanza shika.

Mgonjwa wa kwanza Italy katokea Iran, Mgonjwa wa Iran katokea China.

Unasema amepeleka msaada wa madakatari, kapeleka madakatari 9 tu. Je 9 wataweza population ya watu 60mil?



Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu China kusema ukweli au kudanganya hilo sina ufahamu nalo.

Mimi shida yangu iko kwenye reason unayoitoa

Kwamba Italy anaweza kurecord idadi kubwa ya vifo kuliko China. Hivyo china anadanganya.

Kuna mifano ya nchi nyingi ambazo zimereport first cases mapema kuliko Italy lakini hadi sasa idadi ya maambukizi na vifo iko chini ukilinganisha na Italy.

Mfano Thailand, ndio nchi ya kwanza kureport first case nje ya China, January 13 2020.(Italy first cases was reported on 31Jan 2020).

Achana na Thailand. South Korea, (nchi ambayo imepewa Sifa na vyombo habari vya Magharibi, jinsi wanavyohandle hili suala.)
Walireport kisa cha kwanza Jan 20 2020. Hadi leo idadi ya maambukizi na vifo iko chini kuliko Italy.
Labda utuambie nchi hizo zinadanganya pia. Italy pekee ndio anasema kweli.

Tofauti na hapo njoo na evidence nyingine.



Italy kuwa na idadi kubwa ya vifo au maambukizi sababu zinaweza kuwa ni.

# health system kuelemewa na idadi ya wagonjwa.

#Government kuchelewa kuchukua hatua stahiki kwa wakati.

#kuna scientific report zinadai wenda SARS cov-2 aliyeko Italy ni deadly kuliko aliyeko sehemu nyingine.

#Wengine wanadai ni kwasababu italy ina idadi kuwa ya wazee.



NB. Wagonjwa(2) wa kwanza nchini Italy walitokea China sio Iran, walikuwa watalii wenye uraia wa China. 31Jan
Mgonjwa wa tatu, alikuwa raia wa Italy, alitokea Wuhan, China.

Beggars can't be choosers
 
China hakuweza sema ukweli maana alitaka janga liishe mapema arudi kwenye biashara maana yeye tu ndio alikua akisumbuka na hilo gonjwa. Katudanganya weee mwisho wa siku nchi zingine zikaanza shika.

Mgonjwa wa kwanza Italy katokea Iran, Mgonjwa wa Iran katokea China.

Unasema amepeleka msaada wa madakatari, kapeleka madakatari 9 tu. Je 9 wataweza population ya watu 60mil?



Sent using Jamii Forums mobile app

Wachina ni wazuri sana wa propaganda, hapo wanataka kuuaminish ulimwengu kuwa wameshinda vita kwao na sasa wanaenda kuisaidia dunia

Nchi mbili zenye mlipuko mkubwa zaidi nje ya china yaani Iran na Italy wana maingiliano makubwa na wachina ya kibiashara na hili limewacost sana this time maana wachina wamewapelekea virusi
 
Mwanamke huyo alitoka Ubelgiji na alikuwa anaishi kwenye nyumba ambapo kuna mwanaume alipata virusi vya corona, baadae aliamua kurudi nchini na alipopimwa uwanja wa KIA alionekana mzima hana maambukizi kisha akaamua kujitenga na kujiweka karantini yeye mwenyewe na kukaa hotelini. Baadae akaanza kujisikia vibaya na kuamua kwenda hospitali ambapo alipopimwa akathibitika kuwa na virusi vya corona
-Ummy Mwalimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The devil is close to TZ now, more than ever...

Wabongo(sio serikali bali wananchi) ni muda sasa wa kujiandaa...it's bout time Drizzle,
Na muda huo hatimaye umefika...

Wito kwa kila mmoja wetu kuchukua tahadhari sana sana...

In the next few days tutaona namba ikiongezeka (Mungu aepushilie mbali), trend ambayo imekuwa kawaida kwa nchi zilizofikwa na hili janga
 
Nimeona hata east africa na clouds wamethibitisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maelezo ya waziri ukichanganua huyu mama ashaambukiza watu na wa kwanza aliposhuka akachukua usafiri gani? Hao alosafiri nao wameshuka wangapi? Vipi gari iliyomtoa hospital je pesa alizoshika kuwalipa hotelini je? Je funguo je alokuwa anafanya usafi chumbani kwake hotelini je? Je hao watu waliomzunguka katika safari zqke za ndani hadi anaumwa wana hali gani wamekutana na watu wa hali ipi hiki kisa kama cha corea tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na muda huo hatimaye umefika...

Wito kwa kila mmoja wetu kuchukua tahadhari sana sana...

In the next few days tutaona namba ikiongezeka (Mungu aepushilie mbali), trend ambayo imekuwa kawaida kwa nchi zilizofikwa na hili janga
Namba lazima zitaongezeka ni kama kenya walifatilia mlolongo wa watu waliokaribiana na mtu wao wakawekwa karantini na kukutwa na corona sembuse huyu maza kajiweka karantini mwenyewe sina hakika na maelezo yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sijasikia mtu mweusi yeyote aliyekufa kwa covid-19 mpaka sasa. Ni kweli virus vya corona havina madhara makubwa kwa weusi, hasa wazaliwa wa Afrika
Wakuu naomba kujuzwa mtu wa kwanza mweusi Mwenye asili ya Afrika kufariki kwa corona.!
Je kuna ukweli kuwa virus hawa hawana athari kubwa kwa watu weusi ukifananisha na wenye ngozi nyeupe?
Sikusudii kuleta hoja ya ubaguzi wa rangi lakini natamani kujua.
Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom