Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Inshort ni kasha ambukiza watu wengi
Mwanamke huyo alitoka Ubelgiji na alikuwa anaishi kwenye nyumba ambapo kuna mwanaume alipata virusi vya corona, baadae aliamua kurudi nchini na alipopimwa uwanja wa KIA alionekana mzima hana maambukizi kisha akaamua kujitenga na kujiweka karantini yeye mwenyewe na kukaa hotelini. Baadae akaanza kujisikia vibaya na kuamua kwenda hospitali ambapo alipopimwa akathibitika kuwa na virusi vya corona
-Ummy Mwalimu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kujiweka karathini mwenyewe, hayo ni maelezo asionekane mbaya
Mwanamke huyo alitoka Ubelgiji na alikuwa anaishi kwenye nyumba ambapo kuna mwanaume alipata virusi vya corona, baadae aliamua kurudi nchini na alipopimwa uwanja wa KIA alionekana mzima hana maambukizi kisha akaamua kujitenga na kujiweka karantini yeye mwenyewe na kukaa hotelini. Baadae akaanza kujisikia vibaya na kuamua kwenda hospitali ambapo alipopimwa akathibitika kuwa na virusi vya corona
-Ummy Mwalimu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fuatilia link hapo chini kuona maambukizi mapya, waliopona na waliofariki kutoka sehemu mbalimbali ikiwemo Tanzania.

Coronavirus Update (Live): 174,614 Cases and 6,685 Deaths from COVID-19 Virus Outbreak - Worldometer

1584369605095.png

1584369676004.png
 
Kwa maelezo ya waziri ukichanganua huyu mama ashaambukiza watu na wa kwanza aliposhuka akachukua usafiri gani? Hao alosafiri nao wameshuka wangapi? Vipi gari iliyomtoa hospital je pesa alizoshika kuwalipa hotelini je? Je funguo je alokuwa anafanya usafi chumbani kwake hotelini je? Je hao watu waliomzunguka katika safari zqke za ndani hadi anaumwa wana hali gani wamekutana na watu wa hali ipi hiki kisa kama cha corea tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaishi nae kisela,uyo mama aseme amekutana na wangapi msako uanze chumba chake kipigwe dawa,ikiwezekana wahudumu wa hotel nao wawekwe karantini,iyo uba aliopanda yani sasa ivi mgeni anakinukisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Inshort ni kasha ambukiza watu wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu sana kuweza kubaini idadi ya watu aliyokutana nao. Je ni wangapi? Je wanafahamika? Kuna namna ipi ya kuweza kuwapata hawa wote aliokutana na kukaribiana nao?

Hatari kubwa ni kutokana na uwezo wa mtu kueneza virusi hivyo bila yeye mwenyewe kujua kama ni mgonjwa maana kabla hata ya dalili kuhisiwa, mhusika aweza kuambukiza hata watu 100 ndani ya siku moja pekee.

Kama ni suala la tahadhari lazima kuwepo na utaratibu wa kufuatilia nyendo zote za kisa hicho cha kwanza ili kuweza kuepusha madhara makubwa zaidi yakiwemo maambukizi ya ndani.

Hatari ni halisi!
 
Fuatilia link hapo chini kuona maambukizi mapya, waliopona na waliofariki kutoka sehemu mbalimbali ikiwemo tanzania.

Coronavirus Update (Live): 174,614 Cases and 6,685 Deaths from COVID-19 Virus Outbreak - Worldometer

View attachment 1390177
View attachment 1390180
Hii ni laana kwa utawala wa mabavu wa ccm na wanachama wake, Mungu ataliangamiza Taifa na sisi sote kama hamtahacha unyama mnaoendelea kuutekeleza kupitia Tpdf. Police, NEC, prison, mahakama, TISS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za muda huu.

Kwanza kabisa naomba Moderator msiunganishe uzi huu na thread nyingine.
Naomba uzi huu uwe ni kwaajili ya kushare changamoto mbalimbali,ziwe za kiuchumi,kiafya,kimahusiano nk..., tunazopitia sehemu mbali ndani na nje ya Tanzania ambazo zimesababishwa na mripuko wa virusi vya Corona.

Naomba kuwasilisha.
 
Hii ni laana kwa utawala wa mabavu wa ccm na wanachama wake, Mungu ataliangamiza Taifa na sisi sote kama hamtahacha unyama mnaoendelea kuutekeleza kupitia Tpdf. Police, NEC, prison, mahakama, TISS

Sent using Jamii Forums mobile app
ili si janga la dunia mkuu? hata vinara wa demokrasia na haki za bin adam wameupata!!
au mm ndo sijakuelewa mkulu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sijasikia mtu mweusi yeyote aliyekufa kwa covid-19 mpaka sasa. Ni kweli virus vya corona havina madhara makubwa kwa weusi, hasa wazaliwa wa Afrika

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna uthibitisho wa Kisayansi juu ya hilo.

Pia, hakuna taarifa rasmi kuhusu kifo cha Sub-Saharan kutokana na COVID-19.

Kumbuka kuwa 'taarifa rasmi' zaweza kuwa sahihi pia zaweza kuwa tofauti kabisa na uhalisia wa mambo ulivyo.
 
Mpaka sasa, mataifa mbalimbali ulimwenguni yamekwisha funga mipaka yake na kutoruhusu misafara ya kuingia katika nchi hizo kama tahadhari kuzuia kusambaa zaidi kwa maambukizi ya COVID-19.
 
NEWS ALERT: The head of the European commission is to introduce temporary restrictions on non-essential travel to the EU for 30 days. [Sky News]
 
UPDATE: Iran

Visa vipya 1,053 vimeripotiwa nchini humo hii leo sanjari na vifo vipya 129.

Ongezeko hilo linapelekea idadi ya visa vyote nchini humo kufikia 14,991 huku idadi ya vifo ikifikia 853 hadi sasa.

Waliopata ahueni wafikia 4,996 huku kukiwa na uwezekano wa visa vipya kuongezeka zaidi.
 
Back
Top Bottom