Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Mpuuzi wewe Italy tu usiku wa leo wamekufa watu 600 wewe unaleta ndoto zako za kulewa mataputapu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ni mwema, sidhani kama ataruhusu hii hali iendeleeCovid-19 itapita baada ya wiki mbili zijazo
Hapa ni kuonyesha kuwa mwenyezi Mungu ameruhusu tujaribiwe na shetani
Nina imani ugonjwa huu utawafanya watu kuacha dhambi Duniani kama ushoga, ugaidi na uonevu
Mungu amejidhihirisha kwamba huwa yupo anatulinda tena ulinzi mkali ametuonyesha kwamba akituacha adui yetu atatuangamiza.
Ki
Tumulilieni muumba hatukujiumba tuacheni ujuaji
Soma Mada uelewe, acha kuwa na Satanic angerMpuuzi wewe Italy tu usiku wa leo wamekufa watu 600 wewe unaleta ndoto zako za kulewa mataputapu
Sent using Jamii Forums mobile app
Covid-19 itapita baada ya wiki mbili zijazo
Hapa ni kuonyesha kuwa mwenyezi Mungu ameruhusu tujaribiwe na shetani
Nina imani ugonjwa huu utawafanya watu kuacha dhambi Duniani kama ushoga, ugaidi na uonevu
Mungu amejidhihirisha kwamba huwa yupo anatulinda tena ulinzi mkali ametuonyesha kwamba akituacha adui yetu atatuangamiza.
Tumulilieni muumba hatukujiumba tuacheni ujuaji
Utabiri wao hautatimia na Covid -19 inatowekaInapendeza kua na imani...
Ila washatathmini kwamba week mbili zijazo, Covid19 Africa italipuka vibaya sana...
Cc: mahondaw
Hasa nyinyi waafirika. Acheni ujuajiCovid-19 itapita baada ya wiki mbili zijazo
Hapa ni kuonyesha kuwa mwenyezi Mungu ameruhusu tujaribiwe na shetani
Nina imani ugonjwa huu utawafanya watu kuacha dhambi Duniani kama ushoga, ugaidi na uonevu
Mungu amejidhihirisha kwamba huwa yupo anatulinda tena ulinzi mkali ametuonyesha kwamba akituacha adui yetu atatuangamiza.
Tumulilieni muumba hatukujiumba tuacheni ujuaji
Hajaweka ujuaji, kamtanguliza MunguHasa nyinyi waafirika. Acheni ujuaji
Waafrica hawajasema wazungu watazidi kuisha kwa Corona ila wazungu wanataka hadi chanjo ianzie kwetu wakati wao ndo victims wakubwa wa Corona, kwa point hiyo Corona inatoweka muda si mrefu huku ikiwaacha Wazungu wamekufa zaidi
Waafrica hawajasema wazungu watazidi kuisha kwa Corona ila wazungu wanataka hadi chanjo ianzie kwetu wakati wao ndo victims wakubwa wa Corona, kwa point hiyo Corona inatoweka muda si mrefu huku ikiwaacha Wazungu wamekufa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpumbavu namba moja ni mtu yoyote anayekana uwepo wa Mungu na nguvu zakeMi nakubali ni mpumbavu ila sikuzidi wewe.
Waafrica hawajasema wazungu watazidi kuisha kwa Corona ila wazungu wanataka hadi chanjo ianzie kwetu wakati wao ndo victims wakubwa wa Corona, kwa point hiyo Corona inatoweka muda si mrefu huku ikiwaacha Wazungu wamekufa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app