Fahamu kiundani kabila la Wapare na Wanawake wa kipare

Fahamu kiundani kabila la Wapare na Wanawake wa kipare

Kwakweli 🤣 kuna siku nlikua napiga story na mdada ananisimulia rafiki ake anavomfanyia mambo meusi mengi mengi wamehamishiwa dom rafiki ake kishatangulia na kapata nyumba ameseto, ila anamuuliza mwenzie sa ukifika huku utafikia wapi? Nkamuuliza huyo rafiki ako ni mpare??? Akasema ndiošŸ™Œ

Watu wa kutonga na bajeti msinimind nmeandika nlioyaona mie
Hahah kweli kipengele. Sema tabia za hovyo kila mtu anaweza kuwa nazo hasa ubinafsi ila sababu ni mada ya wapare wataangushiwa majumba mabovu mno.
 
šŸ˜…šŸ˜…
Karibu sana.
Lazima ufurahie maisha. Hasa ukiwa mtu wa kanuni na taratibu ukiwa na Mpare.
Nilipata nao tabu sana mwanzoni,ila Sasa nawamudu vyema....alikuwa ana system kabambe za kupangua mabomu yangu kila nikiyarusha ila nilitulia nikamstudy tunaenda sawa Sasa😁😁😁
 
Kwakweli 🤣 kuna siku nlikua napiga story na mdada ananisimulia rafiki ake anavomfanyia mambo meusi mengi mengi wamehamishiwa dom rafiki ake kishatangulia na kapata nyumba ameseto, ila anamuuliza mwenzie sa ukifika huku utafikia wapi? Nkamuuliza huyo rafiki ako ni mpare??? Akasema ndiošŸ™Œ

Watu wa kutonga na bajeti msinimind nmeandika nlioyaona mie

Hatukumind mkuu.
 
Nilipata nao tabu sana mwanzoni,ila Sasa nawamudu vyema....alikuwa ana system kabambe za kupangua mabomu yangu kila nikiyarusha ila nilitulia nikamstudy tunaenda sawa Sasa😁😁😁

😃😃

Tupo radhi kuitwa wachoyo, wabahili, na majina mengine mabaya lakini kamwe hatuwezi kuhudumia Watu wasiotuhusu.
Pili, kutoa pesa kinyume na mipango(bajeti) ati ili kuwafurahisha Watu wasituone Wabaya.

Raha ya Mpare muwe mnapendana alafu uwe Mwanamke mwenye akili na kupenda vitu vya maendeleo. Hapo mtaenda sawa..
 
Aisee kuna kamoja Halima kalikua katamu sana,mungu akape maua yake.
Tulikua tunagaragazana kuanzia kwenye michongoma mpk kufika home kwake hoi,home mwanamke anapiga makelele "mamaa nakufaa,mamaa weeh" majirani wanakuja kugonga mlango wanafkiri kuna mtu anauliwa
kumbe anakula fimbu.
demu ndo kwanza anawaambia niacheni nife kwa raha zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Halima sikusahau,sikumbuki hata tuliachana vipi
Ubahili wa papuchi aisee hakua nao



Kwenye mambo ya papuchi hawanaga ubahili ni wakarimu mno awe mwanamke au Mwanaume hadi uzeeni.

Sijui ni kwa nini ?

Sijui sababu ya kula kande mara Kwa mara?

Huenda kuna uhusiano wa moja Kwa moja kati ya kula makande mara Kwa mara na kupenda kungonoka mara Kwa mara labda ?!
 
Back
Top Bottom