Hahah kweli kipengele. Sema tabia za hovyo kila mtu anaweza kuwa nazo hasa ubinafsi ila sababu ni mada ya wapare wataangushiwa majumba mabovu mno.Kwakweli 🤣 kuna siku nlikua napiga story na mdada ananisimulia rafiki ake anavomfanyia mambo meusi mengi mengi wamehamishiwa dom rafiki ake kishatangulia na kapata nyumba ameseto, ila anamuuliza mwenzie sa ukifika huku utafikia wapi? Nkamuuliza huyo rafiki ako ni mpare??? Akasema ndio🙌
Watu wa kutonga na bajeti msinimind nmeandika nlioyaona mie
Hadi njegere, mchicha😂 Wapare sio watu wazuriHii imepita level za makande imeenda kwenye pilau 🤣🤣
Niolewe na wapare mara mbili?
🤣🤣🤣Ina maana siku zote hujui?Kumbe umeolewa na Eroni 🤣
🤣🤣🤣🤣Hayo ni makande limited editionHadi njegere, mchicha😂 Wapare sio watu wazuri
Kweli mi msukuma bana😀Tangu lini ?mpare kindakindaki wewe!
Nilipata nao tabu sana mwanzoni,ila Sasa nawamudu vyema....alikuwa ana system kabambe za kupangua mabomu yangu kila nikiyarusha ila nilitulia nikamstudy tunaenda sawa Sasa😁😁😁😅😅
Karibu sana.
Lazima ufurahie maisha. Hasa ukiwa mtu wa kanuni na taratibu ukiwa na Mpare.
Kwakweli 🤣 kuna siku nlikua napiga story na mdada ananisimulia rafiki ake anavomfanyia mambo meusi mengi mengi wamehamishiwa dom rafiki ake kishatangulia na kapata nyumba ameseto, ila anamuuliza mwenzie sa ukifika huku utafikia wapi? Nkamuuliza huyo rafiki ako ni mpare??? Akasema ndio🙌
Watu wa kutonga na bajeti msinimind nmeandika nlioyaona mie
We nilianza kukugundua mapemaa🤣🤣🤣nikajua huyu lazima ni samaki sio kitu kitu ni mchudhiiiKweli mi msukuma bana😀
Ni wabishiii!!!
We nilianza kukugundua mapemaa🤣🤣🤣nikajua huyu lazima ni samaki sio kitu kitu ni mchudhiii
Usiombe kuzinguana na Mpare, utatubuPia wanapenda sana kesi.
Anaweza kuuza ng’ombe kwa kesi ya kuku.
Wanapenda sana ligi hata kwenye mambo madogo madogo.
Nilipata nao tabu sana mwanzoni,ila Sasa nawamudu vyema....alikuwa ana system kabambe za kupangua mabomu yangu kila nikiyarusha ila nilitulia nikamstudy tunaenda sawa Sasa😁😁😁
Aisee kuna kamoja Halima kalikua katamu sana,mungu akape maua yake.
Tulikua tunagaragazana kuanzia kwenye michongoma mpk kufika home kwake hoi,home mwanamke anapiga makelele "mamaa nakufaa,mamaa weeh" majirani wanakuja kugonga mlango wanafkiri kuna mtu anauliwa
kumbe anakula fimbu.
demu ndo kwanza anawaambia niacheni nife kwa raha zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Halima sikusahau,sikumbuki hata tuliachana vipi
Ubahili wa papuchi aisee hakua nao
Walahi natoa laki!kama Kweli we sio mpare nakupa mchana kweupeeUmepoteaa aki ya Mungu
Pia wanapenda sana kesi.
Anaweza kuuza ng’ombe kwa kesi ya kuku.
Wanapenda sana ligi hata kwenye mambo madogo madogo.
Maisha yamebadilika sana sikuhizi. Wapare waliostaarabika mbona wapo wengi tu. Hio mifano mnatolea ya Ma Layman huko Ndungu ni ya kizamani sana