Fahamu kiundani kabila la Wapare na Wanawake wa kipare

Eeeeeh hapo mwisho ndio nimepamudu,sema nimejifunza jambo kuhusu bajeti
 
Ha haaaa they're good lakin
 
Walahi natoa laki!kama Kweli we sio mpare nakupa mchana kweupee



Inawezekana ikawa kweli sio [emoji3][emoji28] mwamini tu huenda amekulia ujombani aka-adapt hulka za Kipare lakini haifanyi akawa kabila la mama yake.

Mtendee iliyo haki yake !

Umekumbuka michango yake ya kupiga vita mizinga ya wanawake wadangaji? [emoji38][emoji38]
Hiyo haina uhusiano na Mada iliyopo mkekani.
 
Sasa mtu anakuwa mchoyo hadi kwa nafsi yake unategemea nini Kwa mfano?

Wengine ukiwakuta miili yao mikaavuuu sababu ya kukunjamana kwa nafsi ?!
 
Wanawake wengi sana wamekuwa disappointed kwenye mahusiano,

Akikutaka mwanzoni Mwanaume anakufanyia advertising hela atakupa na Gari yake utapanda lakini akisha kupata hakuna rangi utaacha kuona [emoji38][emoji38][emoji38]

Utajitunza mwenyewe nakwambia.

Maswala ya kusema Naomba hela nikanunue kile na hiki hakunaga.

Tena kama mama wa nyumbani ndio utakoma nakwambia [emoji3][emoji28]
 
+watoto wa kike WA kipare pia wa Radha ya Fanta orange [emoji521][emoji521] [emoji521]

Wapew Maua Yao

Na wanaweza kazi[emoji91][emoji991]
 
Kuna mmoja alikuwa akioa mitala baada muda mfupi wanaachana,

Mke mkubwa akasema huwa nasubiria hao wake wenza wakiwa nje wanazani nafaidi sana wanaolewa baada ya muda olaaa [emoji3][emoji28]

Uzuri wa mke mkubwa ako na kazi yake si haba kwa riziki actually nae alishadai talaka yake.

Anakwambia hajawahi kula hela ya mumewe hivi sana sana mahitaji ya msingi chakula atanunua mwenyewe Mwanaume tena kwa hesabu kali usifanye mchezo na wapare wewe !

Ada za Shule atalipa lakini hela za nini na nini hatoi.

Na ngumu kuwaroga sababu wenyewe washirikina kila mara wanajikagua miili yao[emoji28]

Ugumu pia uko hapo tofauti na wanaume wa kichaga Kwa mfano hawajui mambo ya kuaguliwa miili kwa hiyo ukimpumbaza kwa kumroga kwa Mganga umemuweza.
 
Yaani nishapambana nae mara kibao kwenye vizinga🀣🀣🀣🀣🀣huyu ni mwenyewe pure kabisaaa
 
Wazuri ila wafupi sana na sio wachoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…