Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

Ni kweli yule msimamzi sidhani kama ataumia na pesa ya msingi
Wala pango! Dada angepata likizo akae kwenye biashara aangalie upepo unapoelekea ndipo amkabidhi mtu
Unless otherwise ampe hesabu atakayofuata jioni kama kwenye chips.

Kuangalia mapato ya awali ni muhimu si ntayaona wakiwa wanauza cha msingi hutakiwi kukata tamaa.
 
Dada samahani,
Ulishawahi kufanya biashara huko nyuma?
Waliokuelekeza hapo wapo sahihi!
You are the owner of your ideas.

Sijawahi ila nna idea nayo najua vitu muhimu vya kuzingatia but huyo dada ana utaalamu. Mimi sioni ndani, kama sio yeye hamna biashara hapo.
 

Asante dada yangu huo ndio ushauri
 
KwanI na huo pia c ni ushauri

Wacheni roho ya kwanini humu ndani, mbona wengi mmeganda hapo? Hamna ushauri mwingine wa kuboresha? "KAA MWENYEWE" dada wa watu amejiaminisha na ni mwaminifu wacha afanye kazi aniingizie pesa namjua ameshafanya kazi before na kuingiza pesa so hilo niachieni mimi. Kwa kifupi kuhusu usimamizi niachieni mimi.
 

Afungue mara ngapi? unafikiri ni wa njaa huyo? alishakuaga na biashara yake
 
Ushauri mzuri huu. Hope atazingatia

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sawa shangazi yako alikua na biashara yake akafilisika but ulitakiwa uone shangazi yako kama akimfanyia mtu biashara anaifanyaje, sio ya kwake
 
Jamani kashauriwa saana kashasema anamwamini mwacheni Mimi binafsi nakuunga mkono asilimia elf kumi nilifanya biashara 3 zote niliangukia pua kisa kuachia watu yaani sasa hivi nakaba mpaka mia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani kashauriwa saana kashasema anamwamini mwacheni Mimi binafsi nakuunga mkono asilimia elf kumi nilifanya biashara 3 zote niliangukia pua kisa kuachia watu yaani sasa hivi nakaba mpaka mia

Sent using Jamii Forums mobile app

ULIANGUKIA PUA coz hukuwa makini, huyo dada ni mwaminifu ntamwachia kila kitu afanye yeye na bila yeye hamna biashara hapo, namfaham vizuri
 
Nashukuru kwa maoni yenu. Vitu ntanunua soko kuu ntadamka, ntajitahidi kuweka viungo mfano binzari,nazi, ntazingatia usafi, uchangamfu, customer care msijali dada yupo vizuri kwenye hilo anafaham vizuri haya mambo, ntafanya projection kujua sahani zinazotoka ktk kila kilo, mimi ntakuepo jumamosi kuwatembelea na kusikia baadhi ya comments na mengineyo
 
Look at u! hakuna anaekuvunja moyo hicho unachojua ni tine usichojua ni bahari ndo maana upo jukwaani kuomba msaada! Kujua sio bei ya sahani ni ratio ya maandalizi na utachouza!..Fanya moyo wako unavyokut7ma usisumbue watu
Sasa asiejua hesabu la sahani ni nani? A very light point. Usijali sivunjiki moyo kirahisi mpaka sasa sijaona point ya kunivunja moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndio ukweli mchungu. Nafanya hii biashara kupitia mke wangu ni ndoto yetu plus yeye ni fundi wa kupika ila kwenye ofisi ni msimamizi coz hauwezi simamia kitu usichojua.

Kwa kifupi huyu mtoa mada anatakiwa kujua hauwezi panda farasi wawil kwa wakati mmoja i.e hauwezi kuwa mwajiri alafu na wewe uajiriwe piga hesabu zako kwanza kama huo mgahawa baada ya miaka miwil utaweza kukulipa mshahara sawa na uliko ajiriwa sasa basi acha kazi na kama jibu n no basi funga mgahawa na komaa na kazi ya mwajiri wako hadi siku atakayosema hakuhitaji tena ukakomae na kikokotoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…