Mwanzo mzuri mkuu...
Angalia tu binafsi kero zangu tu nikupe huenda ukazifanyia kazi.
Napenda chakuka kitamu, hasa wali hakikisha unatafta mchele mzuri na wenye ladha.
Uharaka wa huduma huwa sipendi nimefika then sisikilizwi, wahudumu wawe shapu,
Mambo ya mtu umeagiza supu then chapati za kusubili hiyo wengi hatupendi aisee.
Tafta na friji weka juisi, soda na maziwa mtindi kama kuna wapenzi nayo kama mimi.
Staha epuka maneno yanatayokushushia heshima, but tarajia maneno ya kukera kutoka kwa wateja.
Sent from my Nokia 6 using
Jamii Forums mobile app