Fahamu kuhusu " Deep State " ilivyo na inavyofanya kazi

Alitaka kucheza na Richmond??
Unajua balaa alilopata Chahali mpaka akakimbia? Na unajua 2014 alipojaribu kuja kumzika baba yake mtego aliokuwa ametegwa ili anaswe? Rudi chuoni Malindi ukabukue tena module zako
 
😀😀😀😀 aseee
 
Ndio maana kuna waziri mmoja alipotea usingizini kwa kosa lakuwatembelea deep state kumbe bwana haya majaa hayapendi uyazowee kabisa kama ulivyosema they look like majini unaweza potea kwenye moja ya mapango yao yakupumzika. Nasikia ndio chanzo chakupoteza mmoja wao kisa tu kutokusoma taarifa.....😭😭
 
Je deep state wanamuhujumu Bi. Vasco? Au Bi. Vasco anajihujumu mwenyewe?
Wanamhujumu aiseh sio KWA kupanda bidhaa hivo!!!mkuu hivi Tumia akili tangu huu MWAKA uanze ametoa nyuzi za alerts kama tatu hivi 1.FDR Franklin D Roosevelt na utawala wa Miaka 12 tz 2.mstaafu aliekwisha kustaafishwa 3.hesabu za kukamilisha kitabu zitakuwa hivi!!!mkuu hayo yooote ni maonyo au ni Mpango wa yale yanayoenda kutokea tujiandae!!!?au!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…