Fahamu kuhusu " Deep State " ilivyo na inavyofanya kazi

Kama unaamini kwamba utajiri unaamuliwa na deep state endelea na conspiracy theory zako. Mataifa yenye deep state ni yale ya kitajiri. Kwa nchi yetu deep state ilitaka kujitokeza kupitia kundi la wanamtandao lakini ishavurugikaa
Mtandao huwa hauvurugiki.
 
Haujailezea kwa Mapana Yake...Mfano kwa nchi kama Tanzania Bado naona Urais ni open race mtu yeyote tu aweza kuwa Rais hilo ni hatari sana iko siku tutapata mtu mjinga asie na maana awe Rais.....

Viongozi wengi ni Wanafiki na wala hawaipendi hii nchi....Hao Deep sidhani walimtaka Magufuli Lakini akawa Rais ...Kule USA Hawakumtaka Trump lakini akawa Rais..Kenya Deep state ilimtaka Ruto kwanjni alishinda hii ni mada nyingine tofauti na ndefu...
 
Inafikirisha
 
Hawa dipu steti wao hawajishughulishi na wizi wa mali za umma, mikataba ya kinyonyaji kwenye rasilimali zetu, kurithishana uongozi vizazi kwa vizazi hata kwa watu wasio na uwezo n.k? Miaka 60 ya uhuru my ass!
 
Hawa deep state wa Tanzania wana uchungu kweli na hili taifa au wapo kwa maslahi yao binafsi na watu wao wa karibu?
 
Hivi Trump alishinda Tena 2020
 
Atakuwa yule wa kule SOPALU?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…