Fahamu kuhusu Kampuni za Mfukoni-Briefcase Corporations

Tafuta namna ulobby in mikopo ya halmashauri pale kinondoni.
 
Mkuu vipi Biashara ya Microfinance inafaa kwa biashara ya Mfukoni?
 
Mkuu vipi Biashara ya Microfinance inafaa kwa biashara ya Mfukoni?
Mkuu,kama umesoma andiko kwa umakini na unataka kuanzisha microfinance basi ni swala la hatua kwa hatua.
 
Uzi una madini mazuri🤛online business ukiwa na full package ya skills ni kupiga pesa tu, kuna kipindi niliamua kukomaa na online business yangu as MR.MIKEKA , Nilikuwa nawasaidia watu kutengeneza pesa kupitia kubeti, katika kufanya accounting records zangu nilijikuta per month nimefunga kwa sales za tsh 300,000 , tena business nilikuwa naifanya kwa kutumia smartphone yangu tu nimetulia ghetto😀😀
 
Kama Unahitaji kanzisha kampuni yako ya mfukoni (Briefcase Company) Wasiliana nasi kwa email masokotz@yahoo.com ili tuone namna tunaweza kusaidiana.Tutshirikiana na wewe kufanya yafuatayo:

  1. Kusajili Biashara yako BRELA,TRA,LESENI,na VIBALI Vingine
  2. Kufungua Akaunti Bank
  3. Kuandaa Company Profile ikiwa ni pamoja na LOGO,WEBSITE,EMAILS etc
  4. Kutuma cold emails kwa potential Clients ikiwa ni pamoja na kufanya Appointments
  5. Kuandaa Job description kwa nafasi mbalimbali na kufanya shorlisting pamoja na interview.
  6. Kuwa na wewe katika hatua za mwanzo za biashara yako mpaka itakapoimarika na kukusaidia kupata ushauri wa kitaalam kwa gharama nafuu
 
Mfano nikitaka kufanya the same business as company nilioajiriwa, brela kule wakinichunguza si wataona jina langu kwamba mmiliki
 
Mfano nikitaka kufanya the same business as company nilioajiriwa, brela kule wakinichunguza si wataona jina langu kwamba mmiliki
Inategemea.Hata kama wakifahamu kumbwe unafanya biashara sawa na ajira yako sio kinyume cha sheria lakini inaweza leta mgogoro wa kimaslahi na mwajiri wako.Cha muhimu inategemea na aina ya biashara.Lakini Pia inategemea na mkataba wako wa ajira unasemaje.
 
Hapo ndio pana utata, sitaki wajue kama mimi ni owner kwa sababu zangu binafasi na kuhusu mgogoro wa kimaslahi material naunua ofisini ila sitaki tu wajue nina kampuni yangu
 
Hapo ndio pana utata, sitaki wajue kama mimi ni owner kwa sababu zangu binafasi na kuhusu mgogoro wa kimaslahi material naunua ofisini ila sitaki tu wajue nina kampuni yangu
Tuwasiliane kwa 0710323060 tuangalie namna ya kushughulika na case yako.Karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…