Fahamu kuhusu Kampuni za Mfukoni-Briefcase Corporations

Hapo ndio pana utata, sitaki wajue kama mimi ni owner kwa sababu zangu binafasi na kuhusu mgogoro wa kimaslahi material naunua ofisini ila sitaki tu wajue nina kampuni yangu
Mkuu mtoa maada ametoa siri ya mafanikio ya baadhi ya watu. Kwa case yako unaweza muandikisha ndugu au rafiki then wewe ukasimamia kila kitu cha msingi wote mnufaike.
 
Kwa wale wenye kampuni za mifukoni.Msisahau kufanya estimates za TRA,Annual returns za TRA na BRELA.Kwa estimates mwisho ni march 30
 
Sawa!
 
Je unajua unaweza kuanzisha Biashara yako kwa gharama nafuu kabisa na kwa haraka?Wasiliana nasi kwa Email masokotz@yahoo.com
 
Huu uzi umenipa morali,hapa nipo njiani kuelekea TRÀ kufanyiwa estimates ya kodi,nifanye biashara.Nina business name tu.
Nshakadiriwa,nimewalipa,kilichobaki ni leseni tu,ambayo nimejaribu kuingia kwenye mfumo wa TAUS,mtandao unasumbua,hope wiki ijayo ntakamilisha
 
Nshakadiriwa,nimewalipa,kilichobaki ni leseni tu,ambayo nimejaribu kuingia kwenye mfumo wa TAUS,mtandao unasumbua,hope wiki ijayo ntakamilisha
Nafurahi kwamba umepiga hatua.Ni jambo zuri.Iwapo unahitaji huduma zetu nyingine usisite kuwasiliana nasi.Tunakutakia mafanikio katika biashara yako.
 
Nafurahi kwamba umepiga hatua.Ni jambo zuri.Iwapo unahitaji huduma zetu nyingine usisite kuwasiliana nasi.Tunakutakia mafanikio katika biashara yako.
Mkuu option ya kukupata ni hiyo ya email tu? Maana namba uliyoweka hapo juu haipatikani..
 
Usichelewe kuanzisha Kampuni yako.Tuwasiliane leo kwa email:masokotz@yahoo.com

Mkuu,kama umesoma andiko kwa umakini na unataka kuanzisha microfinance basi ni swala la hatua kwa hatua.
Nimejaribu kuwasiliana nawe kwa namba ulizonipa pm, bahati mbaya ni kwamba haijawahi kupatikana hata nilipojaribu mara kadhaa, mkuu nadhani si sawa kuassume kwamba kila muhitaji atakupata kwa njia ya email pekee, badilika mkuu.
 
Nimejaribu kuwasiliana nawe kwa namba ulizonipa pm, bahati mbaya ni kwamba haijawahi kupatikana hata nilipojaribu mara kadhaa, mkuu nadhani si sawa kuassume kwamba kila muhitaji atakupata kwa njia ya email pekee, badilika mkuu.
Mkuu samahni kama tunapishana hewani.Nimekupm.Unawezamnipatia namba yako nikupigie.

Appologies
 
Je Umeshaanzisha Kampuni Yako?Kama bado Tuwasiliane kwa email:masokotz@yahoo.com
Habari mkuu, je unashauri vipi kwenye scenario ifuatayo: kuna watu wanne (na mimi nikiwepo) ila sisi wawili tuna kampuni tayari ila wawili hawana, kuna haja ya kufungua kampuni nyingine au wawili wafungue kisha tuwe na LLP? Au ifunguliwe kampuni moja ila baadi ya shares zimilikiwe na kampuni iliyotangulia?
 
Uamuzi unategemea na Malengo ya Hiyo Kampuni Mpya na Shughuli zinazaofanywa na hiyo kampuni ya Zamani.Kwa Tanzania hatuna mfumo wa LLP.Ulijadiliwa ila haukufikia Muafaka.Ili kukupa ushauri mzuri ningependa kufahamu zaidi kuhusu malengo ya kampuni ya sasa na Malengo ya kampuni Mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…