Kupanda,kukua hadi kuvuna inachukua miaka 2mkuu mashamba ya iriki wanakodisha,je inachukua muda gani mpaka uvune
ila kununua kwa wakulima naweza kupata wauzaji mkuuKupanda,kukua hadi kuvuna inachukua miaka 2
Kuvuna ni Mara 2 mpk 3 kwa mwaka
Tatizo ni kupata eneo....
Huko watu wa huko walishapandaga muda
Ova
Asilimia kubwa wananua kwa wakulimaila kununua kwa wakulima naweza kupata wauzaji mkuu
nashukuru mkuu namimi nataka kuja kununua huko tatizo ABC sina za kuwajua wauzajiAsilimia kubwa wananua kwa wakulima
Ova
Tafuta market.....nenda kkonashukuru mkuu namimi nataka kuja kununua huko tatizo ABC sina za kuwajua wauzaji
nashukuru ubarikiwe mkuuTafuta market.....nenda kko
Watafute wanauza spices Utapata mwanga
Ova
Nilifanyaga research ya iliki siyo kulima ila ni wapi zinapatikana kwa wingi kwa bahati nilienda sehemu za lutindi,tanga huko nlizunguka vijiji kama 5 kieti,tamota,masangi,nguru,bungu kote huko nlikutana n'a zao la iliki na huko kg1 wanauza 14000 mpaka 16000 n'a kwa dar huku wanauza 25000 mpaka 26000 kwa kg wakomoro wananuua juu kidogo ya hapo......soon ntarudi tena huko kwa ajili ya kununua na kuwa supply watu wangu
Morogoro pia ipo sehemu fulani fulani ila iliki ya tanga wanasema ni the best hata iliki ya india haifikii
Soon nabadilisha tena gia angani mtamuona mrangi kwenye biashara ya mazao maana jiwe lishabuma mh kabana
Ila kwa wabishi kama sisi hata ukibana huku sisi tunapiga kule
OVA
YeahKuna Bohora pale Barabara ya nne anauza viungo vyote kutoka Mombasa. Yaani Karafuu na Iliki vinauzwa Mombasa alafu vinarudi Tanga.
Watu washaanza kuvuna sahviTuwasilianeee Kiongozi mim mwenyew nataka anza fanya hyo biashara Mkuu
Watu washaanza kuvuna sahvi
Iliki mbichi ndy iko kwa wingi
Ila ni vizuri muende wenyewe huko
Mkajionee na kuzoea mazingira!
Ova
Nenda Magoroto, Misalai Shebomeza Amani huko. Ukiwa na pesa unatoka Muheza asubuhi unafika huko saa saba. Hao wauzaji watakupa sehemu ya kulalaHaina noma Mkuu.. Mim nipe Direction tu namna ya kumpata hata Mtu mmoja km mwenyeji halafu nkuonyeshe watu tunavyopambana kutafuta maishaa
Direction dar-tanga unashuka pale msambiazi....Kabla momboHaina noma Mkuu.. Mim nipe Direction tu namna ya kumpata hata Mtu mmoja km mwenyeji halafu nkuonyeshe watu tunavyopambana kutafuta maishaa
Aaaah... inamaana mshamba imekuuma sasa ww jee ulivyoniambia nimetumwa na mganga wangu inamaana mm mshirikina sasa lipi tusi kubwa hapo mkuu mshambaa au mshirikina...πππunaniita mshamba !!?,je, umeanza matusi?!π€π€
Aaaah... inamaana mshamba imekuuma sasa ww jee ulivyoniambia nimetumwa na mganga wangu inamaana mm mshirikina sasa lipi tusi kubwa hapo mkuu mshambaa au mshirikina...πππ
Hahahahahahaha ku deal nq mganga moja kwa moja ni ushirikina mkuuKwani hiliki haiwezekani kutumika kama dawa??, hivi nikisema mganga kanituma tangawizi iliyosagwa, je hapo mimi ni mshirikina?!!ππ
Ww unamjua mganga gani???Mganga mkuu wa mkoa au ??
Ww unamjua mganga gani???
Duh ko mzigo unaenda kuwa processed na packed au nn mkuuKuna Bohora pale Barabara ya nne anauza viungo vyote kutoka Mombasa. Yaani Karafuu na Iliki vinauzwa Mombasa alafu vinarudi Tanga.