Fahamu kuhusu kitabu cha "The set up" katika mbinu za kufanikiwa na kunasa mwanamke yeyote

Fahamu kuhusu kitabu cha "The set up" katika mbinu za kufanikiwa na kunasa mwanamke yeyote

Dah yani usome tabu zima kabisa ili upate mademu tu !!!!!!
 
Soma kwanza humo kuna mbinu ya kupata hela pia "waja wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" Na unaweza kuwa na hela na usipate mwanamke
hela zako bado ukatafutiwa na ukapata wabaya vile vile, hebu weka kitabu hapa nipakue mkuu mimi nataka mbinu nyingine sio za kuwanasa wakina mama... Hizo nawaachia mabachela
 
Kam zpo hakun linaloshindkna.....
Na kama hawawez malza pesa zako basi na wew hutowez kuwamaliza

NB:-utajimalza (you will kill yourself)
Hela ipo mkuu, natafuta wanawake wengi wakuzitumia, Hizi ID fake zinafanya tusiheshimiane humu

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
hela zako bado ukatafutiwa na ukapata wabaya vile vile, hebu weka kitabu hapa nipakue mkuu mimi nataka mbinu nyingine sio za kuwanasa wakina mama... Hizo nawaachia mabachela
Kukiweka hapa itakuwa ngumu kina nude pictures za kutosha ila kama unakihitaji download app ya light reader afu search hapo utakipata
 
Back
Top Bottom