Fahamu kuhusu kitabu cha "The set up" katika mbinu za kufanikiwa na kunasa mwanamke yeyote

Fahamu kuhusu kitabu cha "The set up" katika mbinu za kufanikiwa na kunasa mwanamke yeyote

Mwandishi wa kitabu kaandika ili akiuze, apate hela, akawanase wanawake halafu nyie mna danlodi burebure kweli..? 😄
 
Hapana sio mkuu hata vitabu vya masomo mbalimbali unapata kwa hio app hizo ni features zisikuogopeshe
Kweli ehh dah basi huwezi amini nilipo download light reader nimeona vile mapichapicha imebidi ni unstalll... Sasa nikitaka nisione hizo features nifanyaje maana zinahamisha akili yangu
 
Hivi ni kwanini kila asiekua na hela anaamini akiwa na hela anaweza pata mtu yeyote yule? Demu unaempata kwa kutumia hela huyo ni gold digger
Kaka naomba nikupigie makofi matatu👏👏👏
 
Download tena afu njoo Pm nikupe maelekezo jinsi ya kupata vitabu unavo hitaji ww
 
Back
Top Bottom