Kanye2016
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,904
- 3,006
Lain ya Voda unauzaje mkuuMm ninazo line za voda na tigo nitafute kwa no 0715 877933
Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lain ya Voda unauzaje mkuuMm ninazo line za voda na tigo nitafute kwa no 0715 877933
Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
Sidhan kama kuna ukweliBidii yako ndio faida yako. Unapouza zaidi na kuwa na wateja wengi zaidi ndo faidi inakuwa kubwa zaidi. Tahadhari lakini multiple deposit na direct deposit zitakunyima faida kubwa.
Nimekuwa wakala wa kujitegemea chini ya Vodacom na hadi sasa nina matawi 11 ila kwa sasa huo uwakala wa kujitegemea haupatikani tena labda ujiunge chini ya wakala mkuu ambae atakula 20% ya pato lako.
Kwa maelezo na ushauri zaidi ni pm.
Laki na nusu...nicheck pm kama vipHizo line zinapatikana kwa bei gani?
Story za vijiweni..Huenda Maelezo yenu wote ni mazuri,lakini kwa kifupi tusiwadanhanye watu ,m PESA ukizungusha kiasi cha shilingi 3mil,huwezi pata laki kwa mwezi, kwa mfano mtu akitoa shilling elfu 10 unapata commission ya 60 tena kabla ya kodi ukikatwa kodi unabaki na km na shilling 35 shillings, kwa muamala wa elfu 10.so Fanya 35 ×10,000×30000000 kwa mwezi
Upo sahihi..Hii biashara cha msingi ni location nzuri,ambayo ina movement ya watu, ukiwa na uwezo wa kuhudumia watu si chini ya 50 kwa siku una uhakika wa kupata commision kwa line moja,mfano tigo si chini ya 800000. Upande wa luku nayo ni hivi hivo,ukifanya miamala mingi ya kuuza units mwisho wa mwezi commision inakuwa kubwa
Wanaifanya wengi koz inalipa huo ndio ukweli, ukiingia kichwa ndio utafeli kama awa wanaokuongopea hapa.Mi naisi wengi tulikua na ii mipango nilikua nafikiri those mawakala wanapata profit ya kutosha ndomana kila hatua mbili wakala kumbeeeee loooooh
Akuna kitu kama icho acha kuwadanganya watu.Tafta till kubwa sajil line yako kwenyewe utapata hela nzuri. Inauzwa laki saba. Faida yako itakuwa ni yako na kampun tu. Izo wanazouza laki na 70 unafaidika wewe, aluekuuzia line na kampun ya vodacom. Ukinunua ya laki saba unapewa main line na till tatu. Izo till tatu ndo utaziuza kwa watu kwa laki sabin then unatumia iyo main then unakula faida kote kote
Akuna biashara nyepesi, ata wizi nao ni kazi nzito.Biashara kichaaa...inakila aina ya vizingiti...mara Chuma ulete...mara majambazi yani ni shida
nifundishe kuuza unitsUpo sahihi..
Za umeme au??nifundishe kuuza units
Za umeme au??
Inawezekana sema mm nimeshasahau ni siku nyingi sana nilikuwa nanunua kupitia mpesa, nakushahuri tafuta machine za selcom wapo poa sana na wanatoa commision nzuri.umeme kwa mpesa inawezekana?
oh ngoja nitafute ya mobistoc hawa wako na huduma za fasta mambo ya kuhangaika kusaka salio staki n ways asanteInawezekana sema mm nimeshasahau ni siku nyingi sana nilikuwa nanunua kupitia mpesa, nakushahuri tafuta machine za selcom wapo poa sana na wanatoa commision nzuri.
[emoji4][emoji4] sawa mkuu..l
oh ngoja nitafute ya mobistoc hawa wako na huduma za fasta mambo ya kuhangaika kusaka salio staki n ways asante