Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Hata ndo maswali yanayohtajika JF: Nkupe kidogo, ukiwa na pesa yako cash na float, utawahudumia Wateja wako kuqeka au kutoa fedha. Kampuni ya voda itakupa kamisheni kulingana na idadi ya Wateja unawaohudumia na kias cha fedha. Lkn mtsji wako hauchukuliwi hata sent. Fedha yako itacheza ama kwenye simu ya wakala ama mkinoni mwa wakala. Iwapo fedha ya mkononi itakwisha manake iko kwenye simu na unaweza omba Benji wakupe cash, hali kadhalika ikiisha float unaweza omba benki wakuwekee kwa kuwapa cash. Nasubr kama una swali zaid. Maana pande hizi nimebobea.
Huwa nasikia faida inategemea mtaji, kwa maana kwamba ukiwekeza milioni nne, utapata faida inayokaribiana na kiasi hicho. Je, ni kweli? Unashauri mtaji kiasi gani ili kupata faida nzuri? Vipi kuhusu upatikanaji wa laini, maana kila siku twaona matangazo ya wauza laini humu! Thanks
 
Faida ipo kubwa sana km mzunguko wa biashara upo nikimaanisha kuwe na kutoa na kuweka kwa wingi.

Faida yake hupatikani kupitia cammision kila mwezi

Ni biashara ambayo sio sio pasua kichwa km ukiwa na mtu makini
Kwa ushauri; m pesa isiwe biashara pekee, Bali iambatanishwe na biashara nyingine nyepesi ili kutunza muda pale unapokuwa huna Wateja wa m pesa. Mfano uza maji,soda, vocha,mikate au chochote lkn isiwe biashara ngumu itakayochukua muda mwingi ukashindwa kuhudumia haraka mteja. Ila kama alivyoonya member mmoja "roho mkononi" si unajua Mpesa ni benki.
 
Hata ndo maswali yanayohtajika JF: Nkupe kidogo, ukiwa na pesa yako cash na float, utawahudumia Wateja wako kuqeka au kutoa fedha. Kampuni ya voda itakupa kamisheni kulingana na idadi ya Wateja unawaohudumia na kias cha fedha. Lkn mtsji wako hauchukuliwi hata sent. Fedha yako itacheza ama kwenye simu ya wakala ama mkinoni mwa wakala. Iwapo fedha ya mkononi itakwisha manake iko kwenye simu na unaweza omba Benji wakupe cash, hali kadhalika ikiisha float unaweza omba benki wakuwekee kwa kuwapa cash. Nasubr kama una swali zaid. Maana pande hizi nimebobea.
Asante sana, swali la nyongeza, je nalipwa kwa ukubwa wa muamala? Yani miamala ya pesa kubwa ndio hulipa zaidi? Au nalipwa kwa idadi ya miamala?
 
Huwa nasikia faida inategemea mtaji, kwa maana kwamba ukiwekeza milioni nne, utapata faida inayokaribiana na kiasi hicho. Je, ni kweli? Unashauri mtaji kiasi gani ili kupata faida nzuri? Vipi kuhusu upatikanaji wa laini, maana kila siku twaona matangazo ya wauza laini humu! Thanks
Hapana mkuu faida inategemea miamala utakayoifanya mfano ukifanya muamala wa kutoa na kuweka ikifikia kiasi cha labda 1,000,000 kwa siku moja hapo utapata cammission ya kama ya 1% ambayo ni 10,000 kabla ya kodi ya zuio.

So siyo biashara yenye faida sana kama watu wanvyodhani ndiyo maana wenyewe wanapendekeza iwe huduma katika biashara nyingine unayofanya.
 
naomba kuuliza lain ya tigo pesa bei gani?,then je mfano mteja akikatwa pesa mfn 600 WAKAT WA kutoa je wakala anapata bei gan??
 
Hata ndo maswali yanayohtajika JF: Nkupe kidogo, ukiwa na pesa yako cash na float, utawahudumia Wateja wako kuqeka au kutoa fedha. Kampuni ya voda itakupa kamisheni kulingana na idadi ya Wateja unawaohudumia na kias cha fedha. Lkn mtsji wako hauchukuliwi hata sent. Fedha yako itacheza ama kwenye simu ya wakala ama mkinoni mwa wakala. Iwapo fedha ya mkononi itakwisha manake iko kwenye simu na unaweza omba Benji wakupe cash, hali kadhalika ikiisha float unaweza omba benki wakuwekee kwa kuwapa cash. Nasubr kama una swali zaid. Maana pande hizi nimebobea.
Vip kuhusu max malipo
 
naomba kuuliza lain ya tigo pesa bei gani?,then je mfano mteja akikatwa pesa mfn 600 WAKAT WA kutoa je wakala anapata bei gan??
Tigo pesa ni bure 100%. Ila Mpesa wasumbufu, husema bure lkn kupata lain kazi. Ila kuna watu hufanya hivi: unampa data kisha atadai laki moja. Unapata kwa haraka.
 
Hata ndo maswali yanayohtajika JF: Nkupe kidogo, ukiwa na pesa yako cash na float, utawahudumia Wateja wako kuqeka au kutoa fedha. Kampuni ya voda itakupa kamisheni kulingana na idadi ya Wateja unawaohudumia na kias cha fedha. Lkn mtsji wako hauchukuliwi hata sent. Fedha yako itacheza ama kwenye simu ya wakala ama mkinoni mwa wakala. Iwapo fedha ya mkononi itakwisha manake iko kwenye simu na unaweza omba Benji wakupe cash, hali kadhalika ikiisha float unaweza omba benki wakuwekee kwa kuwapa cash. Nasubr kama una swali zaid. Maana pande hizi nimebobea.
kaka kufungua M-pesa unatakiwa uwe na kiasi gani?
 
Vipi kuhusu hili la kununua line kwa watu, je ni salama? hawawez kufanya ujanja wakakupiga pesa kupitia hz lines walizokuuzia
 
Vipi kuhusu hili la kununua line kwa watu, je ni salama? hawawez kufanya ujanja wakakupiga pesa kupitia hz lines walizokuuzia
Huo ndo ukweli. Usalama wa lain za kitaa ni mdogo sana. Nmeshuhudia matukio matano ya main kufungwa bila taarifa. Unapiga voda wanakwambia imefungwa na kufanyiwa swap ili apewe mwenye nayo. Umeliwa kila kitu.
 
Huo ndo ukweli. Usalama wa lain za kitaa ni mdogo sana. Nmeshuhudia matukio matano ya main kufungwa bila taarifa. Unapiga voda wanakwambia imefungwa na kufanyiwa swap ili apewe mwenye nayo. Umeliwa kila kitu.
Asante ndugu, kuna mtu alitaka kuniuzia line 3 (tigo,voda na airtel) kwa laki 3 ila niliwaza kuhusu usalama
 
Ikiwa ni za majina yake ni rahisi kula nae mkataba. Mtake mwandikishiane kwa serikali ya mtaa, hakuna tatzo. Hawez kukugeuka madhal mnafahamiana. Ila kama si zake usikubali.
 
Back
Top Bottom