Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaji wako unasoma ngapi??Wakuu habari za Leo nawasalimu wote
Nimepata wazo la biashara kama ifuatavyo
M pesa
Tigo pesa
Airtel money
Luku
Nataka Kuwa na Kibanda Mahali Naomba Ushauri juu ya mradi guy wangu wazoefu
2milionMtaji wako unasoma ngapi??
Mkuu mbona mtaji mkubwa sana huo unaweza fuata bidhaa china kabisaMm naipenda hii Biashara mtaji wangu 10 milion
Upo wapinauza line zangu 3 airtel tigo voda zote za pesa
Unauzaje? Weka nambanauza line zangu 3 airtel tigo voda zote za pesa
0687014522 hii kwa WHATSAP NA TEXTUnauzaje? Weka namba
Unauzaje hizo line
Sema ina changamoto sanaa kuvamiwa kutapeliwa yan nikugusa tuFaida ipo kubwa sana km mzunguko wa biashara upo nikimaanisha kuwe na kutoa na kuweka kwa wingi.
Faida yake hupatikani kupitia cammision kila mwezi
Ni biashara ambayo sio sio pasua kichwa km ukiwa na mtu makini
Hata ndo maswali yanayohtajika JF: Nkupe kidogo, ukiwa na pesa yako cash na float, utawahudumia Wateja wako kuqeka au kutoa fedha. Kampuni ya voda itakupa kamisheni kulingana na idadi ya Wateja unawaohudumia na kias cha fedha. Lkn mtsji wako hauchukuliwi hata sent. Fedha yako itacheza ama kwenye simu ya wakala ama mkinoni mwa wakala. Iwapo fedha ya mkononi itakwisha manake iko kwenye simu na unaweza omba Benji wakupe cash, hali kadhalika ikiisha float unaweza omba benki wakuwekee kwa kuwapa cash. Nasubr kama una swali zaid. Maana pande hizi nimebobea.Naomba kuuliza wana jukwaa, hivi unavofanya biashara ya m-pesa, faida inapatikanaje?