Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuuzie ya Voda.200,000/Naombeni mwongozo,
Nahitaji kupata hizo line tajwa wakuu.
Niuzie mimi 0658380898Nikuuzie ya Voda.200,000/
Kumbe ni bure? ?nafikiri kwa tigopesa lain hutolewa buree haziuzwi ila unatakiwa uwe na lessen ya biashara ( tin namba lazima utapata maana lazima upate tin namba ndipo upate lessen) , kitambulisho chako. ( chakura , lessen ya udereva, pass ya kusafiria, cha uraia) pamoja na hela ya mwanasheria 20000 /= kwa ajil ya kusain mikataba , usikose angalau laki 4 kwa ajili ya kuweka float ,baada ya hapo unamwona wakala mkuu wa hilo eneo , yeye atazipeleka taarifa zako ofisini kwa ajili ya kutengenezewa lain ( code) ila hyo line ni mali ya kampuni , hvyo ndivyo nijuavyo mwenye kuongezea nyama karibu
Miaka michache iliyopita nilikuwa kibarua wa Tigo... kupata laini za Tigo Pesa ilikuwa shughuli kweli kweli!nafikiri kwa tigopesa lain hutolewa buree haziuzwi ila unatakiwa uwe na lessen ya biashara ( tin namba lazima utapata maana lazima upate tin namba ndipo upate lessen) , kitambulisho chako. ( chakura , lessen ya udereva, pass ya kusafiria, cha uraia) pamoja na hela ya mwanasheria 20000 /= kwa ajil ya kusain mikataba , usikose angalau laki 4 kwa ajili ya kuweka float ,baada ya hapo unamwona wakala mkuu wa hilo eneo , yeye atazipeleka taarifa zako ofisini kwa ajili ya kutengenezewa lain ( code) ila hyo line ni mali ya kampuni , hvyo ndivyo nijuavyo mwenye kuongezea nyama karibu
Utaratibu wa line buure ni wa miaka mingi tu.... ila ulikuwa slow na uligunduliwa na wachahche wakawa wanazisajili zao kwa wingi then wanawauzia watu... dats why wengi wanaofanya hizi biashara za tigopesa na mpesa line hazina majina yao.Wameanza lini kutoa bure? Miaka michache iliyopita nilikuwa kibarua wa Tigo... kupata laini za Tigo Pesa ilikuwa shughuli kweli kweli!
Kwanza zilikuwa hazitolewi na Tigo bali na Super Dealers wa Tigo! Kwa City Center kuna jamaa, nadhani wanaitwa Excel... nadhani wapo/walikuwa Barclay's Building! Kulikuwa na wengine Mtaa wa Samoa/Zanaki!
Ilikuwa ngumu kuzipata kwa sababu nyingi zilikuwa mikononi mwa watu wakati walikuwa hawazifanyii kazi! Ili kupata serious agents wakapandisha kiwango cha float!
Requirements ndo hizo ulizotaja lakini sidhani kama zinapatikana kirahisi!
Kwanza hakuna niliposema unalipia! Nilichosema ni kwamba ukishamaliza mahitaji yanayotakiwa (docs za kibiashara) LAZIMA u-deposit pesa kwenye account yako... Float!! Sio kwamba unaenda tu kisha unapewa laini kisha unasepa zako... hakuna kitu kama hicho!!!Utaratibu wa line buure ni wa miaka mingi tu.... ila ulikuwa slow na uligunduliwa na wachahche wakawa wanazisajili zao kwa wingi then wanawauzia watu... dats why wengi wanaofanya hizi biashara za tigopesa na mpesa line hazina majina yao.
mitamdao inahitaji line ziwe nyingi ili wapate faida... kama wanakulipa kwa ajili ya kuwafanyia kazi yao... watashindwaje kukupa kitendea kazi.
Ushaona wapi house gal anaanza kazi na ndoo zake za maji
Ni ukweli mtupu!! Kupata hizo laini ni issue kweli kweli na kama mtu uwezo wake mdogo option pekee ni kununua kwa mtu!!!Urasimu uliopo ktk kupata kupata hizo mambo ni heri ununue kwa mtu baki. Sio airtel, sio Voda. Chanzo cha tatizo ni wafanyakazi kuuza hizo laini. Watu wanajaza fomu, wafanyakazi wanaziuza.
Unazitaka nkupe connection na mhusika?Ukielezwa mkuu naomba mrejesho nipate kufaham
Upo wapi mimi nipo Shinyanga.Niuzie mimi 0658380898
Ulitaka za bure zina chukua miezi kadhaa kupata lakini ukitaka faster ufanye kazi ndiyo hivyo lazima ununue kwa mtu au kwa super dealers.Miaka michache iliyopita nilikuwa kibarua wa Tigo... kupata laini za Tigo Pesa ilikuwa shughuli kweli kweli!
Kwanza zilikuwa hazitolewi na Tigo bali na Super Dealers wa Tigo! Kwa City Center kuna jamaa, nadhani wanaitwa Excel... nadhani wapo/walikuwa Barclay's Building! Kulikuwa na mwingine Mtaa wa Samoa/Zanaki!
Ilikuwa ngumu kuzipata kwa sababu nyingi zilikuwa mikononi mwa watu wakati walikuwa hawazifanyii kazi! Ili kupata serious agents wakapandisha kiwango cha float!
Requirements ndo hizo ulizotaja lakini sidhani kama zinapatikana kirahisi!