Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Ulitaka za bure zina chukua miezi kadhaa kupata lakini ukitaka faster ufanye kazi ndiyo hivyo lazima ununue kwa mtu au kwa super dealers.
Hebu twende taratibu! Ina maana siku hizi ukichukua kwa Super Dealer hautakiwi kuweka float?!

Manake for what it was, ukienda kwa Super Dealer LAZIMA ufuate taratibu na wao lazima wakuambie uweke float na ni pesa ndefu tu!! Btw, hata huko unakoweza kupata bure, ina maana hautakiwi ku-deposit Float?!

Sehemu pekee ambayo huwezi kuambiwa uweke Float ni endapo umenunua line kwa mtu!!
 
Nilikuwa nafanya hii business but now mtaji wangu umekata but ninazo line zote mbili ambaye yupo serious Tigopesa atanirudishia 200,000.Voda 150,000
..0714589057.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Salaam wana jukwaa
Nna mpango wa kuanzisha Huduma ya kifedha,tigopesa,M-PESA
But kubwa zaidi ni kuhusu inshu ya maxmalipo naomba kujuzwa jinsi mashine zinavyopatikana,mtaji wa kuanza nao faida na hasara zake
Sina ufahamu wowote so naomba mnipe elimu kuhusu MAxMalipo
Asanteni
 
Salaam wana jukwaa
Nna mpango wa kuanzisha Huduma ya kifedha,tigopesa,M-PESA
But kubwa zaidi ni kuhusu inshu ya maxmalipo naomba kujuzwa jinsi mashine zinavyopatikana,mtaji wa kuanza nao faida na hasara zake
Sina ufahamu wowote so naomba mnipe elimu kuhusu MAxMalipo
Asanteni
Ili uwe wakala lazima uandae lesen ya biashara, id na TIN...
faida ni kubwa kama utapata sehemu yenye mzunguko mkubwa...

Changamoto ni pamoja na matapeli, kupakaziwa hela feki na usalama kiujumla..hivyo inabidi ujipange

Kila la kheri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mbona nasikia kunakamchezo huwa kanafanyik ukiuziwaa line kam hy mtu amekafanyaa hk kamchezo ujuee mwisho wa mwezi kunapesa itabaki kwako ni nyingine inaendaa kwa aliyekuuzia hv nikwelii au story tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu!!
Naomba kujuzwa juu ya biashara ya m-pesa..jinsi ya kuendesha, changamoto zake na jinsi faida inavyopatikana ..karibun wenye uzoefu na hii sekta mtupatie elimu!!!Asanten

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza
Mfanyakazi atakuoiga kama siyo wewe mwenyewe unayehamishia wateja pesa. Wafanyakazi wanasajili line wanakuwa wanatoa hudumu wewe line yako haifanyi kazi kabisa.

Pili,
Makapuni ya Simu wanakuibia ile Commission, hawakupi kama ukivyotakiwa kupewa.

Tatu,
Unakaribisha panya road na mbwa mwitu maana, wanasasambua sana humo kwenye vibanda hasa huku dar nasikia ni kawaida.

Nne,

Faida yake nasikia siyo kubwa kiviile, yaani usitarajie miujiza ya kipato kupitia hiyo biashara faida yake siyo kubwa na hasa ukirejea namba hizo juu zote zinasababisha faida kuwa ndogo.


Tano,
Kama una pesa ya mawazo na hesabu Kali. Usitarajie faida ndani ya siku au wiki ni uwekezaji unaohitaji mtu mvumilivu na aliye na vyanzo vinginevyo vya mapato.

Wengine watakuongezea mambo mengine maana, nami hayo yote nimeyasoma umu humu JF kuhusu uwekezaji.

Nikutakie uwekezaji mwema.
 
Kwanza
Mfanyakazi atakuoiga kama siyo wewe mwenyewe unayehamishia wateja pesa. Wafanyakazi wanasajili line wanakuwa wanatoa hudumu wewe line yako haifanyi kazi kabisa.

Pili,
Makapuni ya Simu wanakuibia ile Commission, hawakupi kama ukivyotakiwa kupewa.

Tatu,
Unakaribisha panya road na mbwa mwitu maana, wanasasambua sana humo kwenye vibanda hasa huku dar nasikia ni kawaida.

Nne,

Faida yake nasikia siyo kubwa kiviile, yaani usitarajie miujiza ya kipato kupitia hiyo biashara faida yake siyo kubwa na hasa ukirejea namba hizo juu zote zinasababisha faida kuwa ndogo.


Tano,
Kama una pesa ya mawazo na hesabu Kali. Usitarajie faida ndani ya siku au wiki ni uwekezaji unaohitaji mtu mvumilivu na aliye na vyanzo vinginevyo vya mapato.

Wengine watakuongezea mambo mengine.

Nikutakie uwekezaji mwema.
Na hako ka commission lazima wamkate VAT... Watumishi wa voda ni wezi kuliko wa mitandao mingine, voda customer care ni majambazi kuzidi hata Acacia.
Akumbuke asiingie hiyo biashara endapo ana matarajio makubwa...anaweza akawa anazungusha laki 8... Lakini kwa mwezi mzima akaambulia elfu 20 kama commission yake...kwahiyo azingatie sana aisee!. Bora awekeze kwenye hisa tu
 
Kwanza
Mfanyakazi atakuoiga kama siyo wewe mwenyewe unayehamishia wateja pesa. Wafanyakazi wanasajili line wanakuwa wanatoa hudumu wewe line yako haifanyi kazi kabisa.

Pili,
Makapuni ya Simu wanakuibia ile Commission, hawakupi kama ukivyotakiwa kupewa.

Tatu,
Unakaribisha panya road na mbwa mwitu maana, wanasasambua sana humo kwenye vibanda hasa huku dar nasikia ni kawaida.

Nne,

Faida yake nasikia siyo kubwa kiviile, yaani usitarajie miujiza ya kipato kupitia hiyo biashara faida yake siyo kubwa na hasa ukirejea namba hizo juu zote zinasababisha faida kuwa ndogo.


Tano,
Kama una pesa ya mawazo na hesabu Kali. Usitarajie faida ndani ya siku au wiki ni uwekezaji unaohitaji mtu mvumilivu na aliye na vyanzo vinginevyo vya mapato.

Wengine watakuongezea mambo mengine maana, nami hayo yote nimeyasoma umu humu JF kuhusu uwekezaji.

Nikutakie uwekezaji mwema.
Asante kwa mawazo mazuri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hako ka commission lazima wamkate VAT... Watumishi wa voda ni wezi kuliko wa mitandao mingine, voda customer care ni majambazi kuzidi hata Acacia.
Akumbuke asiingie hiyo biashara endapo ana matarajio makubwa...anaweza akawa anazungusha laki 8... Lakini kwa mwezi mzima akaambulia elfu 20 kama commission yake...kwahiyo azingatie sana aisee!. Bora awekeze kwenye hisa tu
Hahahaa.. Umenichekesha sn mkuu..elf 20??? Mbn watu wananunua line kwa fujo tu bado

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unataka kufanya hii biashara tafuta mtandao mwingine voda ni wezi sana..watakuibia kwa kila namna..watakupigia simu ili wakuibie..watakufuata hadi kibandani kwako wakurushie muamala fake...
Voda ni wezi wezi wezi wezi wezi wezi ×20000...
 
Back
Top Bottom