Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I think you should find a reasonable person mtu unayemuamini biashara ndivyo zinavyokwenda pamoja na umakini lazima pia umuweke mtu unayemuaminithats a good business and am also interested.,am a busy guy,so i want to put some one incharge..so how can i monitor her/him to make sure i ge (he profits, and not her/he parting away with it ?
Mimi ni wakala wa M-Pesa kitambo sana sijawahi tapeliwa,inalipa sana kama tu goli lako lipo sehemu yenye mchanyiko wa watu wengi na kama unaielewa vizuri biashara hiyo.
@kichwa kukisajili ni Tsh 500/- kamishen
@kichwa kilichosajiliwa kwa mara ya kwanza kikiweka pesa unapata tsh 2000 kamisheni.
@kichwa kikituma pesa kwako unapata kamisheni kuanzia tsh 300/- hadi tsh 5000/- inategemeana katuma shilingi ngapi.
@kichwa kikitoa pesa kwako unapata kamisheni kuanzia tsh500/- hadi tsh 5000/- inategemeana katoa shilingi ngapi
@kichwa kikinunua airtime kwako unapata karibia 10% kamisheni ya airtime aliyonunua
@kichwa kikinununa Luku unapata kamisheni kadhaa
Yaani kwa kijana wa kitanzania wa kawaida akiwa serious inaweza akatolewa na biashara hii kwa ufupi ZAP,M-pesa na Tigo Pesa kama una magoli matatu au maanne kipato cha mwezi ni net 2m, yanini kuajiliwa sasa?
Sidhani kama hapo ni kujiajiri. Nionavyo mimi ni kwamba umeajiriwa na Zain (ZAP), Vodafone (M-PESA) na Tigo (TIGO-PESA)Yaani kwa kijana wa kitanzania wa kawaida akiwa serious inaweza akatolewa na biashara hii kwa ufupi ZAP,M-pesa na Tigo Pesa kama una magoli matatu au maanne kipato cha mwezi ni net 2m, ya nini kuajiliwa sasa?
mimi ni wakala wa m-pesa kitambo sana sijawahi tapeliwa,inalipa sana kama tu goli lako lipo sehemu yenye mchanyiko wa watu wengi na kama unaielewa vizuri biashara hiyo.
@kichwa kukisajili ni tsh 500/- kamishen
@kichwa kilichosajiliwa kwa mara ya kwanza kikiweka pesa unapata tsh 2000 kamisheni.
@kichwa kikituma pesa kwako unapata kamisheni kuanzia tsh 300/- hadi tsh 5000/- inategemeana katuma shilingi ngapi.
@kichwa kikitoa pesa kwako unapata kamisheni kuanzia tsh500/- hadi tsh 5000/- inategemeana katoa shilingi ngapi
@kichwa kikinunua airtime kwako unapata karibia 10% kamisheni ya airtime aliyonunua
@kichwa kikinununa luku unapata kamisheni kadhaa
yaani kwa kijana wa kitanzania wa kawaida akiwa serious inaweza akatolewa na biashara hii kwa ufupi zap,m-pesa na tigo pesa kama una magoli matatu au maanne kipato cha mwezi ni net 2m, yanini kuajiliwa sasa?
Sio tu faida inavyopatikana. Ni vizuri pia utafiti faida inayopatikana.2. Jinsi faida inavyopatikana