Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Katika huduma zote hizo ulizotaja za e-money ambayo imesambaa sana ni Mpesa, ikifuatiwa na Tigo pesa then Airtel Money. Hivo unapoanzisha biashara yako hakikisha kua Mtaji mkubwa zaidi uko kwenye Mpesa, then Kiasi kwenye Tgo Pesa then Airtel.

Ukitaka kufanya hizo biashara za e-money vitu vya kuzingatia ni haya:-


Mtaji wa kutosha

Huo mtaji unakua in form of Float (pesa kwenye account) na Cash (Pesa Mkononi). Naamini unaelewa ni biashara ambayo inategemea entirely on Money. Hakikisha una mtaji wa kutosha. Katika hii biashara inategemea ukubwa wa mtaji wako wewe upo vipi. Lazima uwe na salio (Float) kubwa saana katika account yako ya biashara. Kwamba mtu akihitaji kiasi chochote kile toka One Million to One thousand wewe uwe na uwezo wa kutoa. Na pia kuhakikisha una pesa mkononi ya kutosha. Ukiwa na mtaji wa kutosha utakua na gurantee ya wateja wengi wapya na wakujirudia. Hakuna kitu kinaboa kwa mteja kama kutaka pesa alafu anaingia bada la pesa na kuambiwa hana ajaribu mahala pengine. Kumbuka the more transactions wafanya the more profit (kupitia monthly commission) unapata.


Mahala pa Biashara.

Hakikisha ni mahala ambapo pako busy hasa kibiashara... Mfano Mwenge, Ubungo, Magomeni na the Like. Sehemu ambapo shuguli mbali mbali zaendeshwa... Hata humu kwenye ma stand. Kama una uwezo mkubwa weka Ofisi yako ya Kisasa na ndogo tu, haiitaja mahala pa kubwa sana. Hakikisha kuna usalama wa kutosha; kwamba sio rahisi kuvamiwa na wezi ama majambazi (sababu wengi hua na imani kuna pesa nyingi na aweza komba).

Mhudumu

Ni huduma ambayo inahitaji umakini wa hali ya juu sana. Haiitaji kabia mhudumu Mzembe. Take note ni biashara ambayo inaendeshwa kwa kutegemea number za simu. Iwapo mhudumu wako atakosea kutuma pesa za mteja wake kwa number nyingine (labda kwa kukosea digit moja tu); ana option ya kupiga customer care ku cancel hio transaction. However inaweza tokea kua yule ambae kahamishiwa pesa bahati mbaya yupo really sharp na akahamisha ile pesa ama kuitoa. Ikitokea hivo ujue hio pesa ishapotea no matter ni shilingi ngapi.

Faida

Faida inategemea Umakini wa Operator wako kutokuingiza loss, Frequency ya transaction zako kama nyingi; the more you operate the more you get, Ukubwa wa mtaji wako. Yaani ujiwekee ni dhambi mteja akose huduma katika office yako.


Nakutakia kila la kheri Majogajo, kama una swali la zaida, weka hapa chini nitapita nikipata mda.

Pamoja Saana.
 
umenifungua macho sana. je niandae kama shilingi ngap as start up? na naweza nkaweka bishara nyingine zipi ktk hilo banda la e-money?
 
AshaDii, hio msg umenifungua macho sana. je niandae kama shilingi ngap as start up? na naweza nkaweka bishara nyingine zipi ktk hilo banda la e-money? na procedure za kupewa uwakala zimekaaje?
 
we mtaji au pesa uliyopanga kuiweka kwnye huo mzunguko ni ngap? maana ni ngumu kuchanganua bila kujua ulichonacho. . pia kuna gharama za awal kama pango, marekebisho ya banda na mali za bandan
 
umenifungua macho sana. je niandae kama shilingi ngap as start up? na naweza nkaweka bishara nyingine zipi ktk hilo banda la e-money?


Ukiniambia una shilingi ngapi then ni rahisi kukuambia kukupa ushauri. Wengi wanaanza na Laki 5; mimi hua naona ni waste of time na commission ni ndogo mno. Kumbuka kua hio offisi unalipa kodi na huyo operator wamlipa. Hivo kama una uwezo mimi naona kama minimum ni Million 5.

Unaweka Milion 2.5 kweny Mpesa Float (Mil 1) na Cash (Mil 1.5)

Unaweka Milion 1.5 kwenye Tigo Pesa Float (Lak 7) na Cash (Lak 8)

Unaweka Miliion 1 kwenye Airtel money Float na Cash Lak 5/5

Take note as time goes one wewe ndie utajua kua demand kubwa ni wapi... Kwenye Float? AMA Kwenye Cash? Ukipata jibu utaanza kubalance mwenyewe wapi pesa iwe zaidi.


LA MUHIMU.

Ukiwa na mtaji mdogo unaweza Anza na Mpesa kwanza... as time goes on unajipanua na Tigo pesa na Airtel money. Na waweza anza hata na Million moja tu ili kuona upepo unavooenda.
 
Ukiniambia una shilingi ngapi then ni rahisi kukuambia kukupa ushauri. Wengi wanaanza na Laki 5; mimi hua naona ni waste of time na commission ni ndogo mno. Kumbuka kua hio offisi unalipa kodi na huyo operator wamlipa. Hivo kama una uwezo mimi naona kama minimum ni Million 5.

Unaweka Milion 2.5 kweny Mpesa Float (Mil 1) na Cash (Mil 1.5)

Unaweka Milion 1.5 kwenye Tigo Pesa Float (Lak 7) na Cash (Lak 8)

Unaweka Miliion 1 kwenye Airtel money Float na Cash Lak 5/5

Take note as time goes one wewe ndie utajua kua demand kubwa ni wapi... Kwenye Float? AMA Kwenye Cash? Ukipata jibu utaanza kubalance mwenyewe wapi pesa iwe zaidi.


LA MUHIMU.

Ukiwa na mtaji mdogo unaweza Anza na Mpesa kwanza... as time goes on unajipanua na Tigo pesa na Airtel money. Na waweza anza hata na Million moja tu ili kuona upepo unavooenda.

Thank you sir for this very useful information
 
Hallow Majagajo! Your enquiry has turned with very crucial replies. You have asked about the very lucrative business and they have give the details. Unfortunately, you still asking of the profit and the like. In fact many like the e-money business though the weak economic muscle hampers their ambitions. The fact is the business is highly paying for one with a reasonable capital i.e. not less than 10ml. But you can start the business with what you have and progressively you will be able to raise your capital to a reasonable amount. Start the business and you will learn more on process. Thanks
 
Mawazo yako ni mazuri ila nakuongezea kitu, hv karibuni zantel watazindua EZY PESA nayo ni nzuri sana. kama bado hujajiunga kwenye mitandao yote ya e money (m pesa, tigo pesa, airtel money, na ezy pesa) wasiliana nami kwa 0658959522
 
Katika huduma zote hizo ulizotaja za e-money ambayo imesambaa sana ni Mpesa, ikifuatiwa na Tigo pesa then Airtel Money. Hivo unapoanzisha biashara yako hakikisha kua Mtaji mkubwa zaidi uko kwenye Mpesa, then Kiasi kwenye Tgo Pesa then Airtel.

Ukitaka kufanya hizo biashara za e-money vitu vya kuzingatia ni haya:-

Mtaji wa kutosha
Huo mtaji unakua in form of Float (pesa kwenye account) na Cash (Pesa Mkononi). Naamini unaelewa ni biashara ambayo inategemea entirely on Money. Hakikisha una mtaji wa kutosha. Katika hii biashara inategemea ukubwa wa mtaji wako wewe upo vipi. Lazima uwe na salio (Float) kubwa saana katika account yako ya biashara. Kwamba mtu akihitaji kiasi chochote kile toka One Million to One thousand wewe uwe na uwezo wa kutoa. Na pia kuhakikisha una pesa mkononi ya kutosha. Ukiwa na mtaji wa kutosha utakua na gurantee ya wateja wengi wapya na wakujirudia. Hakuna kitu kinaboa kwa mteja kama kutaka pesa alafu anaingia bada la pesa na kuambiwa hana ajaribu mahala pengine. Kumbuka the more transactions wafanya the more profit (kupitia monthly commission) unapata.

Mahala pa Biashara.
Hakikisha ni mahala ambapo pako busy hasa kibiashara... Mfano Mwenge, Ubungo, Magomeni na the Like. Sehemu ambapo shuguli mbali mbali zaendeshwa... Hata humu kwenye ma stand. Kama una uwezo mkubwa weka Ofisi yako ya Kisasa na ndogo tu, haiitaja mahala pa kubwa sana. Hakikisha kuna usalama wa kutosha; kwamba sio rahisi kuvamiwa na wezi ama majambazi (sababu wengi hua na imani kuna pesa nyingi na aweza komba).

Mhudumu
Ni huduma ambayo inahitaji umakini wa hali ya juu sana. Haiitaji kabia mhudumu Mzembe. Take note ni biashara ambayo inaendeshwa kwa kutegemea number za simu. Iwapo mhudumu wako atakosea kutuma pesa za mteja wake kwa number nyingine (labda kwa kukosea digit moja tu); ana option ya kupiga customer care ku cancel hio transaction. However inaweza tokea kua yule ambae kahamishiwa pesa bahati mbaya yupo really sharp na akahamisha ile pesa ama kuitoa. Ikitokea hivo ujue hio pesa ishapotea no matter ni shilingi ngapi.

Faida
Faida inategemea Umakini wa Operator wako kutokuingiza loss, Frequency ya transaction zako kama nyingi; the more you operate the more you get, Ukubwa wa mtaji wako. Yaani ujiwekee ni dhambi mteja akose huduma katika office yako.

Nakutakia kila la kheri Majogajo, kama una swali la zaida, weka hapa chini nitapita nikipata mda.

Pamoja Saana.
Ukiniambia una shilingi ngapi then ni rahisi kukuambia kukupa ushauri. Wengi wanaanza na Laki 5; mimi hua naona ni waste of time na commission ni ndogo mno. Kumbuka kua hio offisi unalipa kodi na huyo operator wamlipa. Hivo kama una uwezo mimi naona kama minimum ni Million 5.

Unaweka Milion 2.5 kweny Mpesa Float (Mil 1) na Cash (Mil 1.5)
Unaweka Milion 1.5 kwenye Tigo Pesa Float (Lak 7) na Cash (Lak 8)
Unaweka Miliion 1 kwenye Airtel money Float na Cash Lak 5/5

Take note as time goes one wewe ndie utajua kua demand kubwa ni wapi... Kwenye Float? AMA Kwenye Cash? Ukipata jibu utaanza kubalance mwenyewe wapi pesa iwe zaidi.

LA MUHIMU.
Ukiwa na mtaji mdogo unaweza Anza na Mpesa kwanza... as time goes on unajipanua na Tigo pesa na Airtel money. Na waweza anza hata na Million moja tu ili kuona upepo unavooenda.

Kudos Ashadii
I know that today if you have a goal, someone else has allready traveled that road and reached its goal. And the best way to reach the same goal is to walk in their footsteps. But thanks to JF-Business Forum some of us won't have to walk anymore, WE CAN RUN OR DRIVE.
Sasa, ungeweka na mambo ya kuzingatia kwa wanaotaka kuwa mawakala wakuu, nadhani ingekuwa na msaada zaidi
 
Hallow Majagajo! Your enquiry has turned with very crucial replies. You have asked about the very lucrative business and they have give the details. Unfortunately, you still asking of the profit and the like. In fact many like the e-money business though the weak economic muscle hampers their ambitions. The fact is the business is highly paying for one with a reasonable capital i.e. not less than 10ml. But you can start the business with what you have and progressively you will be able to raise your capital to a reasonable amount. Start the business and you will learn more on process. Thanks
is not me who asked about the profit but is AMOEBA. but also is better to know the profit of the business before committing the fund to that bness.
 
Dada yangu AD
Naomba kujua jambo moja
Ukiwa na mtaji kama huo wa 5m na ukaanza kufanya hii biashara,hapa kati kati ya mwezi hupati chochote hadi wenye mtandao wako wakupe commission?
OTIS
acha utoto million 5 peleka ngo moja ya wanama unalipwa million 15 unazungusha kumbuka kujua ukipaata umeamua kuifanyia nini kwanza.......iko magomeni kwa msaada zaidi ni pm..watoto vijana wametoka mbaya
 
Haujaeleza faida mkuu, kwa mtaji huo, au kwa kila transaction ya kiwango flani mtu anapata faida ya kiasi gani?


Faida yake inategemea the following:

Ufanisi wako (via Operator) wa kazi;
Kama service ni nzuri hasa in customer handling skills..... Hii inahusisha mhudumu wako kua sharp na kujua service zote. Mfano:Take note Watanzania wengi ni wavivu wa kujifunza kitu ambacho anajua anafanyiwa... Wengi sababu wanajua akienda Mpesa atapewa huduma inamfanya awe mzembe asijue jinsi ya kutumia Mpesa account. Hapo ina maana Mhudumu awe mpole amsaidie. Nisemapo service pia katika u-sharpness wa kuendesha kazi yake.

Mtaji lazima uwe wa kutosha..
Hii itasaidia kua HAKUNA Mteja anakosa huduma katika ofisi yako, hivo hui na nafasi yoyote ya kupoteza aina yoyote ile ya faida katika transaction za kazi.

FAIDA Kwa mktadha huo hapo juu katika hio Biashara in general;


  1. Ni biashara ya tit for tat. Jioni unafanya mahesabu pesa yako yote mkononi. Kama ilikua Laki tano asubuhi jioni inatakiwa iwe hio hio laki tano.
  2. Unapata pesa ya commission mwisho wa mwezi... Kama mtaji wako ni Million 5 kwa siku na inazunguka ipasavo na hio sehemu ipo busy; Commission sio chini ya 1 M - 1.2 (kutegemea na frequency in transactions). Ikipungua sana hata Lak8/9 na upuuzi juu. Hio ni pesa ambayo inakua yako tayari.

HASARA



  1. Inategemea more tokana na Uzembe/bahati mbaya ya Operator.... Kama sehemu umetegesha ni nzuri, wateja wapo wa kutosha ni nadra kupata hasara. More inakua out of mistakes kama kutuma pesa mahala ambako sio husika kwa bahati mbaya.
  2. Ni kua makini... Kumekua na matepeli sana katika hio biashara na kuna techniques nyingi sana za kuingizwa mjini. Mara nyingi wamewawenga watoto wa kike (wadada) anakuja kaka wa mjini anaonekana anazo hasa.... Kumlainisha yule dada asizingatie wakati wa kutoa huduma kwa vitu kama vitambulisha na the like....
 
Mawazo yako ni mazuri ila nakuongezea kitu, hv karibuni zantel watazindua EZY PESA nayo ni nzuri sana. kama bado hujajiunga kwenye mitandao yote ya e money (m pesa, tigo pesa, airtel money, na ezy pesa) wasiliana nami kwa 0658959522


Hapa labda sababu watangaza Biashara Kiyimo.... Ila naona itakua bado sana hadi iweze kua na demand kwa wateja...
 
Kudos Ashadii
I know that today if you have a goal, someone else has allready traveled that road and reached its goal. And the best way to reach the same goal is to walk in their footsteps. But thanks to JF-Business Forum some of us won't have to walk anymore, WE CAN RUN OR DRIVE.
Sasa, ungeweka na mambo ya kuzingatia kwa wanaotaka kuwa mawakala wakuu, nadhani ingekuwa na msaada zaidi


Kuna wakala wa aina tatu;

1]. Kuna Mkubwa kabisa a.k.a STAND ALONE (Huyu twamzungumzia in terms of Billions)

2]. Kuna Mkubwa wa Kati a.k.a. GLADIATOR (Huyu twamzungumzia in terms of millions sio chini ya 100)

3]. Kuna Wakala wa kawaida anajulikana kwa jina hilo hilo la wakala ndio hapa ambapo majority wanahusika. Na hapa ndipo waweza anza hata na Laki 5
 
Dada yangu AD
Naomba kujua jambo moja
Ukiwa na mtaji kama huo wa 5m na ukaanza kufanya hii biashara,hapa kati kati ya mwezi hupati chochote hadi wenye mtandao wako wakupe commission?
OTIS


In reality ni kua unakua umepata, ila taratibu zao ni one a month kupewa commision.
 
acha utoto million 5 peleka ngo moja ya wanama unalipwa million 15 unazungusha kumbuka kujua ukipaata umeamua kuifanyia nini kwanza.......iko magomeni kwa msaada zaidi ni pm..watoto vijana wametoka mbaya


Wewe Pididy hebu nyumbulisha hii habari yako nikupate vema.... Sijakupata kabisaaa.....
 
Heshima kwenu,


jamani ndugu yenu nafikiria kuanzisha hii biashara ya u-wakala wa m-pesa. Mwenye details kidogo kuhusu hii biashara anijuza hasa nataka kufahamu kuhusu;
1. Kiwango cha chini cha mtaji unao hitajika
2. Jinsi faida inavyopatikana
3. Jinsi ya kujisajiri (hili nadhani sio issue sana naweza kwenda kwa voda wenyewe) itanirahisishia zaidi

nawasilisha

Mkuu,

Mi pian ni wakara wa mpesa. Kama unataka kufanya biashara ya mpesa nitafute ukiwa na TIN certifacate, Leseni ya biashara, picha passport size mbili, na mtaji wako wa laki 4 tu(hii yote inaingia kwenye line yako na unaondoka nayo ). ntakusaidia kukuunganisha na mtu atayekupatia huduma ya mpesa.


SHIMI
0754 570060
 
Mimi ni wakala wa M-Pesa kitambo sana sijawahi tapeliwa,inalipa sana kama tu goli lako lipo sehemu yenye mchanyiko wa watu wengi na kama unaielewa vizuri biashara hiyo. Kichwa kukisajili ni Tsh 500/- kamishen Kichwa kilichosajiliwa kwa mara ya kwanza kikiweka pesa unapata tsh 2000 kamisheni. Kichwa kikituma pesa kwako unapata kamisheni kuanzia tsh 300/- hadi tsh 5000/- inategemeana katuma shilingi ngapi. Kichwa kikitoa pesa kwako unapata kamisheni kuanzia tsh500/- hadi tsh 5000/- inategemeana katoa shilingi ngapi Kichwa kikinunua airtime kwako unapata karibia 10% kamisheni ya airtime aliyonunua Kichwa kikinununa Luku unapata kamisheni kadhaa
Yaani kwa kijana wa kitanzania wa kawaida akiwa serious inaweza akatolewa na biashara hii kwa ufupi ZAP,M-pesa na Tigo Pesa kama una magoli matatu au maanne kipato cha mwezi ni net 2m, yanini kuajiliwa sasa?

Kaka,
Nami ndio nasoma hapa juu ya hii biashara. Nimeilewa sana. NAomba nikusumbue kwa maswali kidogo.
1.Je unaposema Kichwa kukisajili maana yake nini?
2. Kichwa kikituma pesa kwako ina maana mtu anaomba atumiwe pesa kwako kwa kupitia line yako au ina maana gani?
3. Hii kunua Air time je ni ile voucher ya kurusha?
4. Kununua LUKU inakuwaje wewe uuze LUKU?
Naomba unisaidie kujibu haya maswali maana nami nataka kuingia hapo kwa uwezo wa Mungu nikipata hela
 
Last edited by a moderator:
Jamani tusikatishane tamaa, m-pesa inalipa ni usiriaz wa mtu mwenyewe tu. Kwa sas hakuna stand alone (uwakala mkuu) lakini unaweza kupata kwa kuwa chini ya mtu ambaye tayari ni wakala mkuu ambaye ana weza kutoa nafasi kadhaa kwa mtu mwingine (store) ambapo kamisheni mwisho wa mwezi utampatia asilimia 20.

Kijisajili tembelea office za Vodacom ukiwa na Kitambulisho chako,leseni ya biashara,TIN namba yako, na shilingi laki tano. Hawa watu sio siri wamesaidia sana sana sana.

Wakala ukiwa makini bila kufanya udangajifu(fraud) basi utafurahia.
 
Back
Top Bottom