Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Wakuu tuomba feedback kwa wale mliofanikiwa kuanza biashara hizi kwenye huu uzi.
 
Kwanza kabisa natanguliza,shukrani,mi nipo mkoani kagera maeneo ya vijijini japo kuna center zinachangamka.nahitaji fungua biashara ya m-pesa,naomba ufafanuzi zaidi jinsi ya kuwa wakala,faida na hasara za biashara hii.nitashukuru kwa ufafanuzi zaidi?
 
Hailipii....km unafuatilia watu wengi wanauza line zao hasa mpesa....unakua na mtaji mkubwa kamisheni ndogo...mtu anafanya transaction ya 1ml...we kamisheni ya 1000 ndo unapata..hii si biashara ni huduma
 
nahitaji kuanzisha biashara ya m-pesa ila sijajua ni jinsi gani naweza pata line..
naskia kuna line zimewekwa-diversion ukitumiwa commission inagawanyika sehem mbili kwako na kwa mtu mwingine..
hivyo naomba mwenye ufahamu juu ya biashara hii anijuze jinsi ya kupata line hizo na gharama zake..
natanguliza shukrani..
 
hivi wanaouza hizo line si ni voda wenyewe mbona umu kila mtu anauza

Inachukua muda mrefu sana (takribani miezi miwili) kuweza kuipata kutoka Vodacom.
Ndiyo maana hata wenyewe wanashauri umtafute mtu aliyeacha hiyo Biashara akupatie Laini zake.
Kwa kesi ya Tigo, wao ndiyo wamesitisha kabisa kusajili mawakala wapya..
 
Nenda huko huko Voda, wana ofisi zao kila mahala na ufuate utaratibu uliowekwa hadi mwisho vinginevyo hizo laini za juu kwa juu utaishia kupata hasara.

Tatizo lenu mnapenda njia za mkato, ukitapeliwa ndio unakwenda Vod kulalamika.
 
kaka naomba unieleweshe.. mm ninavyojua benk wamezidi kutumia huduma za simu
kwa mfano sassaivi unaweza kutumia Mpesa kuweka hela benk
 
mkuu nikuulize swali una presha???? Km huna biashara hii itakufaa ,cha msingi mweke mtu unayemuamini sana la sivyo kuna cku utalia ...... Ni vema ukatafuta mfanyakazi wa kike hwa kdogo hawana ujasiri wa kuiba tofaut na wa kiume kwa mengi zaidi ni pm kwani mi nafanya hii biashara mwaka wa pili huu
 
Mi nimeshafanya hiyo biashara(MPESA,TIGOPESA),nilikuwa pia na mashine ya Selcom,nilianza mwakajuzi but mwakajana nikaziuza line zote na,hiyo mashine imebak pambo tu ndani.In short hiyo biashara kwangu mimi niliona kujichoresha tu haina faida,otherwise uwe eneo lililochangamka sana eg. stand ufanye transaction nyingi sana ndo utaiona faida yake.Commision zao ni ndogo sana so kama hupati wateja wa kutosha unapoteza mda tu !
 
Mi nimeshafanya hiyo biashara(MPESA,TIGOPESA),nilikuwa pia na mashine ya Selcom,nilianza mwakajuzi but mwakajana nikaziuza line zote na,hiyo mashine imebak pambo tu ndani.In short hiyo biashara kwangu mimi niliona kujichoresha tu haina faida,otherwise uwe eneo lililochangamka sana eg. stand ufanye transaction nyingi sana ndo utaiona faida yake.Commision zao ni ndogo sana so kama hupati wateja wa kutosha unapoteza mda tu !

mkuu hukupaswa kukata tamaa,ungetafuta location bora,mm ninayo kwny location nzuri,napata commission nusu ya mtaji nilioweka kwa till zote mbili,tigopesa na mpesa.Akili kumkichwa.
 
Wadau, wasalaaaam

Ninaomba kufahamishwa namna ya kuanzisha biashara tajwa hapo juu.
Ni mtaji wa kiasi gani ninapaswa kuanza nacho
Ni vipi naweza kupata machine za MAXMALIPO, na inauzwa kiasi gani.

Mbali ya hiyo ninataka kuanzisha uwakala wa mabasi yaendeyo Dar kutokea huku nilipo(bado naendelea kulitafakari hili)

Wadau ninategemea msaada mkubwa kutoka kwenu.
 
Ni wakala wa Maxmalipo. sijui kama bei zimebadilika, lakini mwaka jana ilikuwa unalipa Tshs. 800,000/=, kati ya hizo Tshs. 500,000/= ni capital/mtaji na kiasi kilichobaki ni bei ya mashine. inalipa hasa kama sehemu unayoishi kuna wateja wengi wanao tumia umeme.
 
Ni wakala wa Maxmalipo. sijui kama bei zimebadilika, lakini mwaka jana ilikuwa unalipa Tshs. 800,000/=, kati ya hizo Tshs. 500,000/= ni capital/mtaji na kiasi kilichobaki ni bei ya mashine. inalipa hasa kama sehemu unayoishi kuna wateja wengi wanao tumia umeme.
Mkuu Commission unapata vp? yaani Income yake inakokotolewa VP.
 
Ni wakala wa Maxmalipo. sijui kama bei zimebadilika, lakini mwaka jana ilikuwa unalipa Tshs. 800,000/=, kati ya hizo Tshs. 500,000/= ni capital/mtaji na kiasi kilichobaki ni bei ya mashine. inalipa hasa kama sehemu unayoishi kuna wateja wengi wanao tumia umeme.
Mkuu Commission unapata vp? yaani Income yake inakokotolewa VP.
 
Mkuu Commission unapata vp? yaani Income yake inakokotolewa VP.

inlipwa kila mwanzo wa mwez unaingiziwaa kwenye machine mi nataka ya selcom za maxmalipo commission ndogo alaf znasumbua kila siku znaingixa mfumo mpya nawateja wenyewe hawaa wa uchochoron utakoma kama sku hioo kanunuliaa umeme pesa ya gongo
 
inlipwa kila mwanzo wa mwez unaingiziwaa kwenye machine mi nataka ya selcom za maxmalipo commission ndogo alaf znasumbua kila siku znaingixa mfumo mpya nawateja wenyewe hawaa wa uchochoron utakoma kama sku hioo kanunuliaa umeme pesa ya gongo

Asante kwa mchango mkuu...
Vp za selcom zinapatikana kwa bei gani, na commission yake ikoje hasa?
 
Back
Top Bottom