Gwaje
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 299
- 85
Nimekuwa najiuliza sana kwanini sasa huduma ya kupiga simu sio muhimu sana kwa makampuni ya simu za mkononi kama vodacom, leo nimekutana na kijana mmoja anayefanya kazi kibanda cha mpesa.
Katika mazungumzo nikamuuliza mgawo wa kipato ambacho mtoa au mfanya biashara wa mpesa hupata kutokana na aina ya huduma na kiwango cha ghalama ambazo vodacom hupata. Huyu ndugu akaniambia mteja akija kutoa 100000 voda hukata 2000 kama gharama ya huduma lakini mwisho wa mwezi vodacom hugawia 800 mtoa huduma ambaye pesa ni zake.
Nikajiuliza maswali kadhaa je kwanini uwiano uko hivi? Lengo la vodacom kunyonya watu kiasi hiki ni nini? Au nalo hili halijulikani kwa wapanga sera na viongozi?
Naomba anayefahamu kwa kina kuhusu hiki atujuze pia akiweza kwa airmoney na tigo pesa
Katika mazungumzo nikamuuliza mgawo wa kipato ambacho mtoa au mfanya biashara wa mpesa hupata kutokana na aina ya huduma na kiwango cha ghalama ambazo vodacom hupata. Huyu ndugu akaniambia mteja akija kutoa 100000 voda hukata 2000 kama gharama ya huduma lakini mwisho wa mwezi vodacom hugawia 800 mtoa huduma ambaye pesa ni zake.
Nikajiuliza maswali kadhaa je kwanini uwiano uko hivi? Lengo la vodacom kunyonya watu kiasi hiki ni nini? Au nalo hili halijulikani kwa wapanga sera na viongozi?
Naomba anayefahamu kwa kina kuhusu hiki atujuze pia akiweza kwa airmoney na tigo pesa