Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Sio tu faida inavyopatikana. Ni vizuri pia utafiti faida inayopatikana.

Niliwahi kuwafuatilia hao kina Voda nikagonga mwamba makao makuu, wakanambia sijui nimwone fulani, leo katoka, jana yuko likizo, kesho kutwa kampeleka mkewe hospitali, nikaona ujinga, nikaachana nao.

Experience yangu kwa uwakala wa makampuni makubwa kwa ujumla ni mbaya. Nimekuwa supplier wa Cocacola, nimeuza mafuta ya GAPCO, nimeuza internet services za TTCL. Nikaapa sitafanya uwakala wa kampuni kamwe. Wao wanapanga bei bila kujua bei ya mtaani huku ni ngapi, hawajali unapata faida au hupati, very ignorant people, customer service mbovu, hawana kitengo cha mawakala, unakuta kuna ofisa mmoja wamemuweka kwenye cubicle ndio eti a deal na issue zote za suppliers! So ridiculous.
mkuu usingekata tamaa ya hapo voda,mi huwa nakawaida ya kuamini sehemu tamu/yenye maslahi huwa kuna mizengwe hivyo ukishaona hivyo ungeanza jia za mlango wa nyuma.mi ninajamaa yangu anafanya biashara ya uwakala wa m-pesa adaka si chini ya laki nane kwa mwezi
nashauri rudi tena kuwacheki jamaa
 
Naomba kufahamishwa namna ya kuanza huduma ya mpesa na tigo pesa ktk yafuatayo.

1. je lazima nisajili kampuni kwanza?
2. kiasi gani cha mtaji unahitajika
3.je commission kiasi gani inatolewa kwa wakala.


Natanguliza shukrani.
 
kweli bana hata mm. Naitaji hii info sana.
Wale wanaofanya bussiness hii msaada plz.
 
Naomba kufahamishwa namna ya kuanza huduma ya mpesa na tigo pesa ktk yafuatayo.

1. je lazima nisajili kampuni kwanza?
2. kiasi gani cha mtaji unahitajika
3.je commission kiasi gani inatolewa kwa wakala.


Natanguliza shukrani.
Vinavyo takiwa ni kama hapo chni pia ukipenda ya airtel twanga hzo namba tukufate kwa anetaka uwakala wa airtel money piga hizi namba 0717474257 (usishangae namba ni ya tigo, mi nimeajiriwa hivyo naendelea kutumia namba yangu ya tigo though working 4 airtel)

Kinachohitajika ni copy ya leseni ya biashara, kitambulisho, Tin namba na barua toka kwa mtendaji, bei ya kuanzai kufungua account
yako kama wakala ni 3000 kwa biashara ndogo na 300,000 kwa biashara kubwa.

Wakala analipwa kwa kamishen ya 200 kuweka na 250 kutoa kwa kichwa kimoja / kwa mteja moja. Hii ina mana ukipata watu 100 kwa siku unazidisha 100 mara 200 au 250 inakuwa ndio kamishen yako kwa siku ukipata watu 50 unazidisha tu unapokea kamishen
yako.

Zingatia hyo kamishen sio fixed mteja akichukua au akiweka hela kubwa kamishen ina ongezeka sawa sawa na kiwango cha hela ya mteja. Hiyo 200 na 250 ni kwa kiwango cha 900 hadi 4999
 
Wakuu naomba sana kujuzwa kuwa ni process zipi za kufuatwa ili kuwa wakala wa m-pesa na tigo pesa. Je leseni yake ni special ama ni ya biashara yoyote? Na je nilazima upate kibali toka BOT? Natanguliza shukurani kwa ushirikiano.
 
Habari wanajamii forumz, please kwa yeyote anayeitaji kuwa wakala wa M PESA , tuwasiliane,hii ni kwa wale ambao wapo dar es salaa...unaitaji kuwa na copy ya kitambulisho chako,tin no,lesen ya biashara na mtaji wa kuanzia 500000/ kupanda juu,
plz ni PM tuwezekuwasiliana zaidi.
 
Mi nataka ila sehemu ya kuwekea hicho kiofisi sina. Vipi nikupm au nishakuwa disqualified?
 
habari wanajamii forumz, please kwa yeyote anayeitaji kuwa wakala wa M PESA , tuwasiliane,hii ni kwa wale ambao wapo dar es salaa...unaitaji kuwa na copy ya kitambulisho chako,tin no,lesen ya biashara na mtaji wa kuanzia 500000/ kupanda juu,
plz ni PM tuwezekuwasiliana zaidi.

Fafanua kidogo; umetumwa na Vodacom kwenda kutafuta mawakala au wewe ni wakala unatafuta mawakala wa kujiunga kwenye mgongo wako ili uongeze comission yako?
 
Ni PM ndg yangu tujue tunafanyaje, make sure una copy ya leseni ya biashara , tin number na kitambulisho chako. karibu sana
 
Mimi ni wakala mkubwa, kama unajua voda com imewachagua mawakala wachache kuwa ma super delear wake kwenye upande wa m pesa, yani kupata mawakala,kuwa train,kuwapatia vifaa na usaidizi mwingine wa msingi, karibu sana, Kwa maelezo mengine unaweza ni PM tukabidilishana contacts na vp tunaweza onana ofisini.
 
habari wanajamii forumz, please kwa yeyote anayeitaji kuwa wakala wa M PESA , tuwasiliane,hii ni kwa wale ambao wapo dar es salaa...unaitaji kuwa na copy ya kitambulisho chako,tin no,lesen ya biashara na mtaji wa kuanzia 500000/ kupanda juu,
plz ni PM tuwezekuwasiliana zaidi.

Ni vyema ungesema kwanza unapatikana mkoa gani? Na hapo kwenye nyekundu ni both kwa wanaotaka uwakala mkuu na wanaotaka uwakala mdogo. Weka mambo hadharani. Au wewe ndio wakala mkuu halafu unatafuta mwakala wadogo
 
Vipi kama nipo mbali na Dar na nataka kua wakala wa M-Pesa? huwezi kusaidia kwa hilo?
 
Kama upo nje ya Dar es salaam tuwasiliane, mimi ni wakala mkuu- m pesa superdelear nasajiri mawakala wadogo, nipo dar es salam, kwa maelezo zaidi na mawasiliano ni PM.
 
Weka namba za simu mkuu, watu wengine si members wa jf so unawanyima nafasi
 
kama upo nje ya dar es salaam tuwasiliane, mimi ni wakala mkuu- m pesa superdelear nasajiri mawakala wadogo, nipo dar es salam, kwa maelezo zaidi na mawasiliano ni PM.

kaka naomba utoe contact zako including email address ili nitandae tuweze kuwasiliana kaka.
 
Naomba kujua faida ilyopo kuwa wakala na kama naweza kutegemea uwakala kuniweka hapa mjini bila kuwa na kazi nyingine.
 
Ni vyema ungesema kwanza unapatikana mkoa gani? Na hapo kwenye nyekundu ni both kwa wanaotaka uwakala mkuu na wanaotaka uwakala mdogo. Weka mambo hadharani. Au wewe ndio wakala mkuu halafu unatafuta mwakala wadogo

kesha sema kwa wale waliopo dsm.
 
ndugu naomba nipate kujua faida ya mpesa, air tel money na tigo pesa, na benefit nyingine ntakazo zipatakutokana na bness hiyo. pia nataka kujua mtaji unaohitajika ili kufanya biashara hyo vzuri. pia wadau mnishauri kwenye banda langu naweza nkaongezea kitu gani kingine. chenye mahusiano ya karibu na biashara tajwa hapo juu. na location nzuri. mwenye uzoefu wakuu......maaana naangalia wapi ntainvest baada ya kumaliza masomo yangu.
 
Back
Top Bottom