Mkuu kiukweli watu hawajui2 ila mimi nakubaliana nawewe kuna jamaa yangu anaingizaga mpaka milioni moja huku mkoaniferry kigamboni, karibu na wewe ufungue goli lako, kuna watu nyomi wanaovuka, kuna chuo pale, stendi......kiufupi kuna mzunguko mkubwa wa watu
thanks to god the almighty
JAMANI MISIJAFANYA HII KAZI ILA NNARAFIKI ANGU YUPO PALE DODOMA CHUO CHA SANTI JOHN NJE KWA MWEZI LAINI YA TIGO ANAINGIZA LAKI 6 MPAKA 7 VODA LAKI 5 MPAKA 4 NA AIRTEL ANASEMA HUWA NI LAKI 4 AU 3 NA 80 ASEE HII BIASHARA NILICHOGUNDUA MAENEO YA MZUNGUKO WA WATU HASA HASA WANAFUNZI WA CHUO AU KATIKATI YA JIJI HAPO UTAFAIDI MBALI NA HAPO UTAKULA PESA YA KULA TUsikudanganyi brother, mimi laini ya tigopesa kwenye hilo goli lililochangamka huwa sishuki chini ya 800k na bonus zao wanazotoaga za laki 2 hadi 3 huwa nalamba zote. mwezi uliovunja rekodi ni december, tigopesa pekee niliingiza 1.25m
thanks to god the almighty
mimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.
I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k
thanks to god the almighty
huku Mwanza Voda ndio una takiwa uweke 500kmimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.
I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k
thanks to god the almighty
sure, mikoani (hasa bara) vodacom m pesa anakimbiza sana
Hapa ningum kuaminika labda useme mtaji wako siyo chini ya m5sikudanganyi brother, mimi laini ya tigopesa kwenye hilo goli lililochangamka huwa sishuki chini ya 800k na bonus zao wanazotoaga za laki 2 hadi 3 huwa nalamba zote. mwezi uliovunja rekodi ni december, tigopesa pekee niliingiza 1.25m
thanks to god the almighty
Kudanganya wenzako kunakusaidia nini labda.. hebu acha fix kaka... 1.7 kwenye biashara ya money transaction kwa mwezi??mimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.
I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k
thanks to god the almighty
Yaani pesa zote hizo afu unasema eti goli halijachangamka? Huo ni mshahara wa mtumishi mwenye degree kwa mwezimimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.
I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k
thanks to god the almighty
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hizi ndo zile story za Kulima matikitiki kwa mil 2 upate mila 10 faidaKudanganya wenzako kunakusaidia nini labda.. hebu acha fix kaka... 1.7 kwenye biashara ya money transaction kwa mwezi??
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu, hujanielewa vizuri, pia hujamuelewa vizuri aliyeomba ushauri kuhusu hii business. Mimi nmemshauri kwa uzoefu wangu nilioanzia biashara na hali halisi ya biashara ilivyo sehemu yenye mishe mishe za watu.Hapa ningum kuaminika labda useme mtaji wako siyo chini ya m5
Hilo goli lina miaka 2 sasa, jiulize je mtaji utakuwa ule ule wa 2m!Hapa ningum kuaminika labda useme mtaji wako siyo chini ya m5
Mm ningependa kujua njisi ya kupata faida.. Uzuri wa hii biashara si rahisi kupoteza mtaji..yaani ukishindwa unaacha tu.
Hilo goli lina miaka 2 sasa, jiulize je mtaji utakuwa ule ule wa 2m!
thanks to god the almighty
yeah, ndio maana inashauriwa hawa wasaidizi wapelekwe trainingMtaji unapotea kirahisi sanaaaaaa..... Hasa ukikutana na experienced tapeli. Au msaidiz wa hii kazi asipokua makini. Msaidiz wangu hakua makini baada ya kuizoe kazi akajiona ni much know, nakwambia nilipotza zaidi ya 700k ndani ya wiki mbili, nimakosa madogo madogo tu yanaponza.
mr kick man!mimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.
I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k
thanks to god the almighty
kwa nini nitafute kick while no body knows me
hapo umeweka mtaji kiasi gani boss kwa magoli yote matatumimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.
I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k
thanks to god the almighty
Uongo wa Karne
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Uongo wa Karne