Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

sikudanganyi brother, mimi laini ya tigopesa kwenye hilo goli lililochangamka huwa sishuki chini ya 800k na bonus zao wanazotoaga za laki 2 hadi 3 huwa nalamba zote. mwezi uliovunja rekodi ni december, tigopesa pekee niliingiza 1.25m

thanks to god the almighty
JAMANI MISIJAFANYA HII KAZI ILA NNARAFIKI ANGU YUPO PALE DODOMA CHUO CHA SANTI JOHN NJE KWA MWEZI LAINI YA TIGO ANAINGIZA LAKI 6 MPAKA 7 VODA LAKI 5 MPAKA 4 NA AIRTEL ANASEMA HUWA NI LAKI 4 AU 3 NA 80 ASEE HII BIASHARA NILICHOGUNDUA MAENEO YA MZUNGUKO WA WATU HASA HASA WANAFUNZI WA CHUO AU KATIKATI YA JIJI HAPO UTAFAIDI MBALI NA HAPO UTAKULA PESA YA KULA TU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.

I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k



thanks to god the almighty

You mean god or God?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.

I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k



thanks to god the almighty
huku Mwanza Voda ndio una takiwa uweke 500k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sikudanganyi brother, mimi laini ya tigopesa kwenye hilo goli lililochangamka huwa sishuki chini ya 800k na bonus zao wanazotoaga za laki 2 hadi 3 huwa nalamba zote. mwezi uliovunja rekodi ni december, tigopesa pekee niliingiza 1.25m

thanks to god the almighty
Hapa ningum kuaminika labda useme mtaji wako siyo chini ya m5
 
mimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.

I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k



thanks to god the almighty
Kudanganya wenzako kunakusaidia nini labda.. hebu acha fix kaka... 1.7 kwenye biashara ya money transaction kwa mwezi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Y
mimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.

I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k



thanks to god the almighty
Yaani pesa zote hizo afu unasema eti goli halijachangamka? Huo ni mshahara wa mtumishi mwenye degree kwa mwezi
 
Hapa ningum kuaminika labda useme mtaji wako siyo chini ya m5
mkuu, hujanielewa vizuri, pia hujamuelewa vizuri aliyeomba ushauri kuhusu hii business. Mimi nmemshauri kwa uzoefu wangu nilioanzia biashara na hali halisi ya biashara ilivyo sehemu yenye mishe mishe za watu.

Maana yake hadi kufikia sasa mtaji wangu umekua, kwa commission hizo sipo kwenye mtaji wa 2M tena

thanks to god the almighty
 
Mm ningependa kujua njisi ya kupata faida.. Uzuri wa hii biashara si rahisi kupoteza mtaji..yaani ukishindwa unaacha tu.

Mtaji unapotea kirahisi sanaaaaaa..... Hasa ukikutana na experienced tapeli. Au msaidiz wa hii kazi asipokua makini. Msaidiz wangu hakua makini baada ya kuizoe kazi akajiona ni much know, nakwambia nilipotza zaidi ya 700k ndani ya wiki mbili, nimakosa madogo madogo tu yanaponza.
 
Mtaji unapotea kirahisi sanaaaaaa..... Hasa ukikutana na experienced tapeli. Au msaidiz wa hii kazi asipokua makini. Msaidiz wangu hakua makini baada ya kuizoe kazi akajiona ni much know, nakwambia nilipotza zaidi ya 700k ndani ya wiki mbili, nimakosa madogo madogo tu yanaponza.
yeah, ndio maana inashauriwa hawa wasaidizi wapelekwe training

thanks to god the almighty
 
mimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.

I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k



thanks to god the almighty
mr kick man!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.

I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k



thanks to god the almighty
hapo umeweka mtaji kiasi gani boss kwa magoli yote matatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo wa Karne
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi nilijua peke yangu ndio nmeshangaa kumbe tupo wengi tunaoshangaa.
Halaf jamaa inaonekana hajui kabisa na wala hajawah kufanya biashara.
Milioni 2 ni mtaji mdogo sana kuweza kupata faida hata ya laki 3.
Maana kwa huo mtaji wakija wateja watatu tu kutoa pesa unaishiwa cash.
 
Back
Top Bottom