Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)


7KQ84ES Imethibitishwa
tarehe 26/11/20 3:28 PM
Toa Tsh175,000.00 kwa
255 - C M.
Salio lako ni Tsh503,569.00, Kamisheni Tsh460.00 pamoja na kodi.

Hivyo basi hapa ili upate faida unahitaji kuwa na mzunguko mkubwa faiada kwa muamala ni hizo 50 mpaka 1000 na mapoint hivyo ili upate faida kubwa unapaswa kufanya miamala mingi kwa siku na si vinginevyo uzuri ni kwamba kila ukifanya muamala unapata mavuno yako hapo hapo sema kamisheni ndo wanatoa kidogo ukilinganisha na ghalama anazo tozwa mteja wakati wa kutoa hela ilipaswa mtoa huduma na kampuni wagawane ile tozo aliotozwa mteja wakati anatoa pesa nisi wao kuchukua asilimia 98% na wewe kuchukua asilimia 2%
 
U
Uzi mzuri nitarudi
 
Kuna Till ya M-PESA (lain ya M-PESA) inauzwa kwa aliyetayar nichek 0764928129 location Mbeya mjini
 
Naomba unisaidie mawasiliano unisaidie kitu hapa mkuu.
 
Umenipa kitu aisee nilikuwa natafuta comment kama hii.
 
Sasa hivi ukienda kwenye maduka ya vodshop wanakuambia huduma ya kusajili mawakala wapya imesimamishwa mpaka mwezi wa nane. Ss cjui ni kwa Moshi na Arusha au nikote?
 
laini za uwakala

TIGO na Voda 150,000 ndani ya saa 24
Halotel - 30,000
TTCL - 20000
AIRTEL MONEY - 30000

Serious customers ni PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…