Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sie akina yakhee huku TANGA twazipataje hizo line?nauza line ya uwakala tigo pesa 0658788131 bei 170,000/=
Ikiharibika au ikipata tatizo nita irekebisha vipi huko tigo.. Mana sina leseni yakenauza line ya uwakala tigo pesa 0658788131 bei 170,000/=
Mbona simple boss unajari leseni unapeleka wanakupa...... Utarudishaje kwa kampuni husika Wakati kupata ulisotaBaada ya kusoma kwa umakuni huu uzi,kuna haja haya makampuni ya simu kuhakiki upya hizo Till,mtu aliyeshindwa kufanya biashara airudishe kwenye kampuni husika na anayetaka kufanya biashara akaichukue kwenye kampuni.Sheria za kubiashara ni ngumu sana,unaponunua line ya mtu nakuendelea nayo siku likitokea la kutokea ni ngumu sana kutetewa kama line unayotumia kisheria aijasajiliwa kwa jina lako.
Kama ni ngumu kupata line nimelewa kwanini kuwekeza kibiashara kusini mwa jangwa la sahara ni kazi sana,kama ngozi nyeusi yenyewe kwa yenyewe inabaniana.Mbona simple boss unajari leseni unapeleka wanakupa...... Utarudishaje kwa kampuni husika Wakati kupata ulisota
Ni Hatari boss utapigwa kalenda mpaka utaiachaKama ni ngumu kupata line nimelewa kwanini kuwekeza kibiashara kusini mwa jangwa la sahara ni kazi sana,kama ngozi nyeusi yenyewe kwa yenyewe inabaniana.
Nina 150,000/=km inakulipa twende pmnauza line ya uwakala tigo pesa 0658788131 bei 170,000/=
150,000/=vipi mkuu!nauza line ya uwakala tigo pesa 0658788131 bei 170,000/=
Why sio mikoani mkuukwa wote wanaohitaji laini za voda zenye majina yao kwa bei ya maelewano, karibuni pm.(dsm tu)
Ncheki kwa 0620163695150,000/=vipi mkuu!
Nahitaji line tatu za uwakala, Tigo, airtel na Voda,
Nataka zote ziwe kwa jina langu.
0786133399[/QUOTE
Tigo ipo mkuu