Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Suala sio Mtajiii mzee suala ni miamalaa unayofanya ndo inakupaa Faidaa...!! Sasa wew hata ukiwa na mtaji wa mil 100 unafanya miamala 10 kwa siku mwingne ana Mil 1 anafanya miamala 100 kwa siku lazima atakuzidii tuu!!
Fact
 
Vp kwa anaeanza na mtaji wa kukopa
Hiyo ni juu yako mkuu muhimu utunze biashara na mkopo wa watu kingine omba huo mkopo uwe wa muda kidogo na ukae sehemu yenye mzunguko mzuri wa pesa utapiga hela ya uhakika na tafuta chanzo chako cha mapato upate mtaji wako
 
Mtaji ulikuwa mkubwa si kwa mtaji huo wa mleta mada!.
Mi mwenyewe nafanya hiyo biashara mpaka saiz japo nipo mbioni kuifunga na ninauza TILL ZOTE.

TILL ZINAUZWA:
TILL za mitandao yote yaan
1. Vodacom(m-pesa)-150,000/=
2. Tigo(tigopesa) -120,000/=
3. Airtel(Airtel money) -100,000/=
4. Halotel(halopesa)- 70,000/=
pia maelewano yapo!. Till zote zina jina moja.
Kwa mnunuzi karibu PM tufanye biashara pia napatikana mbeya mjini

Karibuni
Mkuu pm yako haikubali kupokea meseji ni pm wewe tuelewane tafadhari
 
Mkuu utafanyaje muamala wa 2milions wakat una mtaji wa 500,000?. Si utamwambia mteja sina cash au sina float ili aende kwa mwingine?. Kuwa reality mtaji una umuhim sana ili ufanye miamala mingi otherwise utasubir wa 50,000 au 20,000 akija wa million huwez muhudumia
Tuwasiliane!
 
Biashara kichaa hyo achana nayo. Saivi haina faida. Laki tano unapata faida elfu 5 kasoro. Kwa ufupi now wamepunguza Hiyo commission so hadi uzungushe pesa ya maana ndo upate faida wengi wamefunga. Piga hesabu kwa hyo faida hapo. Ukion inafaa fanya
 
kwahiyo kwa mtaji wa laki tano anaweza kupaata faida s
Mbona umepanic!.kwahiyo umetoka kwenye mtaji wa laki 5 umehamia laki 8 saizi.
Sijakata tamaa na hapa nipo kwenye biashara hiyo muda huu naziuza ni mpya niliomba mwezi wa kwanza ndo nmepewa leo yaan zipo mpya hata kwenye simu hazijawekwa. Na atakaenunua ndo atazitoa kweny vibati vyake na kuanza kuzitumia hivyo elewa sijafunga business natumia nlizonunua kwa watu kabla sijapata zangu.

Mtaji wa 500,000 hauwez mpa faida ya laki 6 kwa mwezi hata afanyaje
hillig ngapi kwa mwezi na ule wa millioni moja anaweza kupata faida shilling ngapi
 
Biashara kichaa hyo achana nayo. Saivi haina faida. Laki tano unapata faida elfu 5 kasoro. Kwa ufupi now wamepunguza Hiyo commission so hadi uzungushe pesa ya maana ndo upate faida wengi wamefunga. Piga hesabu kwa hyo faida hapo. Ukion inafaa fanya
Duuuh biashara akili sasa naona hapa mkuu eleta kisicho eleweka
 
Mtaji ulikuwa mkubwa si kwa mtaji huo wa mleta mada!.
Mi mwenyewe nafanya hiyo biashara mpaka saiz japo nipo mbioni kuifunga na ninauza TILL ZOTE.

TILL ZINAUZWA:
TILL za mitandao yote yaan
1. Vodacom(m-pesa)-150,000/=
2. Tigo(tigopesa) -120,000/=
3. Airtel(Airtel money) -100,000/=
4. Halotel(halopesa)- 70,000/=
pia maelewano yapo!. Till zote zina jina moja.
Kwa mnunuzi karibu PM tufanye biashara pia napatikana mbeya mjini

Karibuni
 
Back
Top Bottom