Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic


Taa zote zilizopo ktk dash board ni Alerts <angalizo> kwa dereva, hazipaswi kuwaka. Kuna taa ya mafuta, oil, betri, milango, hand break, ABS nk, yoyote ikiwaka ni ishara kwa dereva arekebishe jambo au kitu fulani. Hivyo taa ya O/D OFF haipaswi kuwaka muda wote wa kuendesha gari.. Comments za baadhi ya wana JF humu zinapotosha. Nakubaliana na comment ya ndg CTU, yupo sahihi na ameelimisha.
 
Pinokyo Jujuman na wengine...labda kuongezea tu ni kwamba kuna baadhi ya gari kama gx 110 ambazo kuweka over drive off unashift stick kwen namba tatu (nyingine namba nne) ambazo inakuwa kwenye same horizontal lining na normal driving. My advice ni kwamba foe normal driving gari iwe automatic ili kuiwezesha kufikia overdrive yenyewe pale inapoona inafaa.
 
Last edited by a moderator:


Uko sawa sana mkuu, taa nyingi zilizopo pale huwaka ku-alert jambo.
 

Taa nyekundu ni onyo....
Taa ya o/d ni njano au rangi ya chungwa.....maanake sio onyo....ni taarifa tu.

Bado najiuliza nini mantiki ya kuwa na option ya kuzuia gia ya mwisho?
Kuna faida zipi kutembea gari ikiwa inazuia gia ya mwisho.....kwa nini walifanya iwe option.... Kaizer unajua faida yoyote ya kuzuia o/d? Faida za kuruhusu o/d zipo wazi.
 
Last edited by a moderator:

Kwa mkanganyiko huu mimi nimeamua kuwa taa yoyote ikiwaka kwenye dashi board ukiacha ile ya mwanga itakuwa sio sahihi
 

Kaka faida zake utaziona pale unapohitaji injini kuwa na nguvu mfano ukitaka kuovertake gari ya mbele yako na unahitaji kupick up nguvu unaiweka off gari inagain nguvu za kuipita kisha unarudi kuiweka on...ni kama unavopangua gia from namba nne kurudi tatu.

Pili ukiwa speed na umekutana na mazingira ya kubreak chap chap inasaidia ukiiweka off mara moja ikisaidiana na break una achieve a more smooth breaking kuliko break peke yake...hasa hizi highway zetu zenye matuta ya gafla..wanyama nk.
 
Last edited by a moderator:
Sioni uhalisia kwenye majibu yenu. Practically huwa ikiwa haiwaki Inakuwa off. Jaribu kwenye gari yako utakubali.
Mkuu nakubaliana na wewe, majibu ya baadhi ya wataalam practically namimi sikubaliani nao. Nimejaribu kuitumia several times, especially ninapotaka kuovertake gari kwa haraka au kwenye vimilima ambapo ukiminya kitufe cha O/D kwenye dash board taa inawaka na kusomeka OD OFF. Hapa gari inabadilika muungurumo ghafla na inakua na nguvu kubwa na speed kali sana kiasi ambacho sio rahisi kuendlea kuendesha gari ktk hali hiyo kwa muda mrefu maana hiyo nguvu na kasi yake si ya kawaida. Kwahiyo kwa tafsiri ya OVER DRIVE, practically ikiwa taa imewaka kwenye dashboard ndio iko on.
 
Mkuu maelezo yako yanatuchanganya. ni vise versa na magari mengi watu waendeshayo.
 

Mkuu utakuwa hujaelewa maana ya over drive. Matumizi yake umepatia na matokeo yake ni sawa..ila.conclusion yako ndo umekoroga

Cc OLESAIDIMU RRONDO CYBERTEQ
 
Last edited by a moderator:

ndugu.....nisome kwa umakini. Gari kwenye hali ya kawaida inatembea na OVER DRIVE ON.

Maana yake nini?

Maana yake ni gearbox ina-OVER RIDE engine,meaning engine kabla haijafika kwenye REV kubwa gear inabadilika! na gari inakuwa more efficient on fuel. Kwahio kwa hali ya kawaida ile TAA inakuwa imezimika,meaning OVER DRIVE ON.

Sasa,ukibonyeza ile button,ya OD/OFF[Tena imeandikwa OD/OFF jiulize kwanini hawakuandika OD/ON] maanake umezima OD kwa hio GEARBOX HAITA-OVERRIDE ENGINE meaning gear zitachelewa kuingia mpaka max rev ya gear hio na utapata more power.

Kwahio gari inatakiwa iendeshwe OVERDRIVE ikiwa ON kwa hali ya kawaida lakini kama UNAHITAJI NGUVU ZAIDI unaweka OVER DRIVE OFF.

Taa ikiwaka ina warn kuwa unaendesha na OVER DRIVE OFF kwa maana hio si hali ya kawaida kama ingekuwa kawaida isinge alert.
 
Mkuu utakuwa hujaelewa maana ya over drive. Matumizi yake umepatia na matokeo yake ni sawa..ila.conclusion yako ndo umekoroga

Cc OLESAIDIMU RRONDO CYBERTEQ

tatizo hapa brother ni lile neno OD/OFF....mtu anaamini ukihitaji nguvu zaidi unawasha kitu fulani badala ya kuzima kitu fulani,thats the case in many things but not in OD....kwahio walitegemea iwe OD/ON ndio unapata more power and not the other way round
 

Kabisa, hii kitu inachanganya sana, lakini kiuhalisia ukiibonyeza japo neno linasomeka katika tafsiri ambayo ni kinyume na matarajio, lakini OVERDRIVE/OFF ikiwaka taa ndo iko ON na gari litabadili muungurumo na nguvu ni ya ajabu hiyo inakupa picha kuwa maji ya Waarabu( Wese/ Fuel) linateketea! Kwa ushauri tu ukiwa kwenye misele ya mjini kwa gari hizi tulizozoea za Kijapan lile neno usiliruhusu taa iwake, uitumie kwenye safari ndefu gari ikifikia 100kph au una overtake na gari inasinzia weka kitu kiwe on halafu kanyaga mafuta kwa nguvu ukilipita gari zima kama huna kaz nayo tena! Kumbuka mafuta yanateketea sana hapo!
 
Mkuu maelezo yako yanatuchanganya. ni vise versa na magari mengi watu waendeshayo.
Mbona yako wazi mkuu. Hapa nazungumzia wakati gani OD inakuwa ikifanya kazi na wakati gani inakuwa haifanyi kazi. Kwamba ukiminya ile batani unakuwa umeiweka ON kwa maana kwamba inakuwa ianafanya kazi na ukiacha kale kabatani kakiwa nje na taa ya O/D OFF kusomeka katika dash board hapo inakuwa haifanyi kazi kwa maana ya kwamba inakuwa OFF. Sasa sijaelewa hujaelewa kipengele gani kati ya matumizi na kuwa ON au OFF kukmbuka tunazungumzia magari ya Automatic. Kwakuwa tunaelimishana weka wazi ni wapi pana kupa tabu
 
Ni wazi kwa hapa mjini utakuwa huendi kasi hivyo acha taa iwe inawaka kwa maana ya kuwa itakuwa OFF na taa kwenye dash board itakuwa inawaka. Kwa mijini ni wazi utakuwa unatumia zaidi gia namba 2, 3 na mara chache 4 hivyo hakuna haja ya kuweka OD
 
Umeeleza vizuri. Tatizo kubwa kwa wengi ni kujua wakati gani OD iko ON na OFF nafikiri kama ulivyosema wengi wangetegemea ukiweka ON taa iwake ikionesha O/D ON lakini ukweli inapokuwa haiwaki maana yake ndio O/D ON
 
Ni wazi kwa hapa mjini utakuwa huendi kasi hivyo acha taa iwe inawaka kwa maana ya kuwa itakuwa OFF na taa kwenye dash board itakuwa inawaka. Kwa mijini ni wazi utakuwa unatumia zaidi gia namba 2, 3 na mara chache 4 hivyo hakuna haja ya kuweka OD

mkuu OD/OFF sio kwasababu ya kasi,ni nguvu ya ziada tu kwa wakati maalum kama overtaking....180kph utafika bila kuzima OD....mjini lazima OD IWE ON ili gearbox i-override engine....yaani hata mwendo mdogo tu gear inabadilika,hivi hujawahi kuendesha speed 40/50 kph gear zikafika 4/5?? hio ndio kazi ya OD ON[TAA HAIPO] ....sasa ukizima od yaani OD OFF hio 40/50 utaifikia kwa gia namba 1/2 kutegemeana na gari.....kwahio hapa tai make sure ile taa HAIWAKI.
 
Nilishawahi kubishana na mdau mmoja kuhusu hili jambo. Mwishowe nikajua hapa tatizo ni uelewa tu.UKIONA TAA INAWAKA NA OVERDRIVE/OFF HAPO UJUE OVERDRIVE IMEZIMWA, UKIBONYEZA ILEBUTON ILE TAA NA OVERDRIVE OFF INAONDOKA HAPO UJUE OVERDRIVE IPO ON
 

Yap, na huo ndiyo ukweli wenyewe
 
Nilishawahi kubishana na mdau mmoja kuhusu hili jambo. Mwishowe nikajua hapa tatizo ni uelewa tu.UKIONA TAA INAWAKA NA OVERDRIVE/OFF HAPO UJUE OVERDRIVE IMEZIMWA, UKIBONYEZA ILEBUTON ILE TAA NA OVERDRIVE OFF INAONDOKA HAPO UJUE OVERDRIVE IPO ON

Eactly....AND IT IS SUPPOSED TO BE ON[TAA IMEZIMA] mpaka uwe unahitaji extra power kwa ajili ya overtaking etc..
 

This makes sense. Sasa nimeelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…